Mitego yote imegonga mwamba
Una kiona mbali, umetanzua puzzel hii.CCM ni nyoka kawekewa vigingi vingi na vigingi ni wananchi wameshtuka kwa hiyo pakupita anatumia mzunguko mkubwa sana mpaka sasa kwa watu
Mitihani mzitoHivi nani anataarifa kuhusu hili jambo zito linalo endelea huko Mbeya?
Maana kuna tetesi eti uliokotwa huku Kawe, lakini nikama kuna maelekezo yametolewa na ghafla ukimya ukatamalaki.
Angekuwa nyoka wa kijani.. anyway ndio fasihi.CCM ni nyoka kawekewa vigingi vingi na vigingi ni wananchi wameshtuka kwa hiyo pakupita anatumia mzunguko mkubwa sana mpaka sasa kwa watu
siku hizi umeona usioneshe direct wanaweza kukumaliza CCM na yeye analinda familia yake mchoraji.Nyoka kwenye katuni zake tunajua ni CCM siku nyingiAngekuwa nyoka wa kijani.. anyway ndio fasihi.
Si kweli, angalau Mshana Jr kapatiaUna kiona mbali, umetanzua puzzel hii.