Mwaka huu macho madogo kashikwa kubaya na kipanya, sema ndo hivyo macho madogo wanakula na mama kwa hiyo sio shida zao...!!😂😂
Eti mama kuku 😂Mama kuku analea vifaranga wa wengine halafu kifaranga wake kamwacha huko mbali hana time nae.
Anamaanisha nini?