Mayanga mdebwedo huo, acheni usimba na uyanga wenu sasa mlitaka aje jerry tegete? Kiukweli timu ni nzuri na mapungufu ni madogo tu, pale uganda pagumu wadau kumbuka cameroon walikwaruzwa halikadhalika nigeria waliona cha mtema kuni pale, hii timu huyu jamaa poulsen akikaa nayo muda atatufurahisha, msipende shortcut wadau, kumbukeni mbuyu na unene wake ulivyoanza kuota.
Timu yetu ilikua natatizo la kushinda ugenin sasa kiana wameanza.karibu mashujaa wetu