nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
[h=3][/h]
Ugonjwa WETU ni ULE ULE... Kichwa cha MWENDAWAZIMU!!
Vikombe kadhaa tumevichukua Tanzania ikiwamo kombe la Kagame, unataka tufurahi sisi tu wakati kila nchi inatuma timu iliyoaminika? Ni zamu yao kushinda, wachezaji wetu warudi kujipanga upya.