wewe fikiria mtu utakuta hana la kufanya ataacha kwenda kuchukua mtisheti wa bure na mkofia? tunajua kabisa idadi kubwa ya watz kununua nguo ni ANASA sasa ataacha kwenda na kusikiliza mziki na wakati mwingine anapewa buku tano au kumi ...tuweni wakweli tu na hali halisi
Mzee, hivi kweli tunahitaji kupiga kura kwa kuangalia mvuto wa mgombea? Kwa maoni yangu mvuto huo wa kujaza watu ambao wamesombwa na malori na mabus kutoka makwao si mvuto wa kweli.
Nasikia watoto wa shule kibao waliflazimishwa kufunga shule ili waende kufunika, na malori yote yalisomba watu
Jiulize Dr. Slaa umati wake huletwa na nani?