PICHA: JUST PICHA: Kampeni Kalenga, Grace Tendega CHADEMA

PICHA: JUST PICHA: Kampeni Kalenga, Grace Tendega CHADEMA

Halafu matokeo yakitoka wanasema wameibiwa kura AU sababu nyingine mpya siku hizi wanasema DAFTARI HALIJABORESHWA!
Nasikia chopa zilikuwa zinatimua vumbi hivyo wananchi walikuwa hawaoni chadema
 
Halafu matokeo yakitoka wanasema wameibiwa kura AU sababu nyingine mpya siku hizi wanasema DAFTARI HALIJABORESHWA!
Wamevurugwa pakubwa sana sijui watatokea wapi aibu watayopata ni zaidi ya aibu.
 
dr Mgimwa alishinda kwa kura ngapi? na chadema walipata ngapi uchaguzi uliopita 2010
 
KILA lakheri bi Grace sisi tunawaombea Mwenyezi Mungu awalinde na hila zote za mapepo wabaya.
kampeni ziwe za kistarabu na mshawishi watu wa hoja tu na wala si fujo
 
Hapa ni kazi,maneno ya kanga tunawaachie CCM,uoga na usaliti tunawaachia ACT
 
Back
Top Bottom