PICHA; Jinsi Shigella & T. Hiza 'Walivyoiteka' Mtwara!

Kiganyi

JF-Expert Member
Apr 30, 2012
1,242
765
Katibu Mkuu UVCCM ,Mh.Shigela Martin akihutubia wananchi wa Mtwara
Tambwe Hiza wa CCM Makao Makuu akihutubia wananchi masuala muhimu ya kujenga nchi na yenye kuleta maendeleo kwa Taifa
Katibu mkuu wa umoja wa vijana wa CCM Martin Shigela amewataka wananchi wa mkoa wa Mtwara kujitokeza kwa wingi kutoa maoni yao wakati Tume ya kuratibu maoni ya katiba mpya itakapofika mkoani humo kukusanya maoni ya wananchi,amesema CCM haina agenda yoyote iliyojificha katika upatikanaji wa katiba mpya itakayotokana na utashi wa wananchi wenyewe ,alitilia mkazo kwa wananchi kutoa maoni yao kwa amani bila kuingilia uhuru wa wengine,aliwaasa kuangalia mambo ya muhimu ambayo wanaona yatasaidia kuiweka nchi katika amani na kuendelea kutoa fursa ya maendeleo kwa wananchi kama ilivyo sasa,kuhusu mgombea binafsi alisema CCM haipingi kama wapinzani wanavyotangaza na kama wananchi wanalitaka hilo katika kukuza demokrasia nchini waliseme na litatekelezwa bila wasi wasi na kwamba CCM ndiyo itafaidika zaidi kwa kuwa wanachama wake hawataenda upinzani kutafuta nafasi za kugombea kama ilivyo sasa ambapo wanakwenda huko huku wakiamini vyama hivyo havina sera yoyote ya maendeleo ya Taifa zaidi ya kutaka utawala,alielezea fursa mbali mbali za mkoa huo zilizoletwa na serikali ya CCM na zitakazoendelea kuletwa katika kipindi kifupi kijacho,kabla ya hapo mjumbe aliefuatana naye katika msafara wake Tambwe Hiza alizungumzia hali ya nchi iloivyokwenda mbele kimaendeleo tangu tulipopata uhuru ikiwa nin pamoja na uanzishaji wa shule nyingi za msingi karibu na maeneo wanayoishi wananchi kinyume na hali ilivyokuwa kabla ya kujitawala na miaka ya mwanzo ya uhuru ambapo kila Tarafa ilikuwa na shule moja ya msingi jambo lililopelekea watoto kutembea umbali mkubwa kwenda shule,aliwabeza wanaodai miaka 50 kuwa hakijafanyika kitu kwa kutoa mifano ya ya vyuo vikuu vilivyoanzishwa baada ya uhuru ambavyo havikuwepo kabla idadi ya wanafunzi wanaoingia sekondari hivi sasa akitolea mfano wa idadi ya watoto 5 kati ya watoto 100 waliofaulu waliokuwa wakienda sekondari wakati wa serikali ya awamu ya kwanza kwa kuwa wakoloni hawakujenga za kutosha,wanafunzi waliongezeka kufikia 13 wakati wa awamu ya pili,21 awamu ya tatu na awamu hii ya Rais Kikwete imefikisha 97 kati ya mia huku baadhi ya mikoa ikifikia 100/100
 
Katibu Mkuu UVCCM ,Mh.Shigela Martin akihutubia wananchi wa Mtwara
Tambwe Hiza wa CCM Makao Makuu akihutubia wananchi masuala muhimu ya kujenga nchi na yenye kuleta maendeleo kwa Taifa
Katibu mkuu wa umoja wa vijana wa CCM Martin Shigela amewataka wananchi wa mkoa wa Mtwara kujitokeza kwa wingi kutoa maoni yao wakati Tume ya kuratibu maoni ya katiba mpya itakapofika mkoani humo kukusanya maoni ya wananchi,amesema CCM haina agenda yoyote iliyojificha katika upatikanaji wa katiba mpya itakayotokana na utashi wa wananchi wenyewe ,alitilia mkazo kwa wananchi kutoa maoni yao kwa amani bila kuingilia uhuru wa wengine,aliwaasa kuangalia mambo ya muhimu ambayo wanaona yatasaidia kuiweka nchi katika amani na kuendelea kutoa fursa ya maendeleo kwa wananchi kama ilivyo sasa,kuhusu mgombea binafsi alisema CCM haipingi kama wapinzani wanavyotangaza na kama wananchi wanalitaka hilo katika kukuza demokrasia nchini waliseme na litatekelezwa bila wasi wasi na kwamba CCM ndiyo itafaidika zaidi kwa kuwa wanachama wake hawataenda upinzani kutafuta nafasi za kugombea kama ilivyo sasa ambapo wanakwenda huko huku wakiamini vyama hivyo havina sera yoyote ya maendeleo ya Taifa zaidi ya kutaka utawala,alielezea fursa mbali mbali za mkoa huo zilizoletwa na serikali ya CCM na zitakazoendelea kuletwa katika kipindi kifupi kijacho,kabla ya hapo mjumbe aliefuatana naye katika msafara wake Tambwe Hiza alizungumzia hali ya nchi iloivyokwenda mbele kimaendeleo tangu tulipopata uhuru ikiwa nin pamoja na uanzishaji wa shule nyingi za msingi karibu na maeneo wanayoishi wananchi kinyume na hali ilivyokuwa kabla ya kujitawala na miaka ya mwanzo ya uhuru ambapo kila Tarafa ilikuwa na shule moja ya msingi jambo lililopelekea watoto kutembea umbali mkubwa kwenda shule,aliwabeza wanaodai miaka 50 kuwa hakijafanyika kitu kwa kutoa mifano ya ya vyuo vikuu vilivyoanzishwa baada ya uhuru ambavyo havikuwepo kabla idadi ya wanafunzi wanaoingia sekondari hivi sasa akitolea mfano wa idadi ya watoto 5 kati ya watoto 100 waliofaulu waliokuwa wakienda sekondari wakati wa serikali ya awamu ya kwanza kwa kuwa wakoloni hawakujenga za kutosha,wanafunzi waliongezeka kufikia 13 wakati wa awamu ya pili,21 awamu ya tatu na awamu hii ya Rais Kikwete imefikisha 97 kati ya mia huku baadhi ya mikoa ikifikia 100/100

Kama mtwara mjini wahuzuriaji hawajafika 200 pamoja na promo ya kutosha.Je wakienda mtama au nanyumbu itakuwaje?kwishney
 
Mpaka sasa Ccm wamekata tamaa, wao wanategemea policeccm na usalamaccm. Wananchi walisha wasanukila.
 
Uliposema kuiteka nilitegemea umati mkubwa wa watu!
Mbona waliopo apo ni idadi ndogo sana na wengi ni wanachama wao!
So ni lazima watakuwa wamekusanywa toka maeneo mbalimbali na kuletwa eneo la tukio na POSHO JUU!
 
aha magamba kushne,kajiumati na hapo ni baada ya kusomba watu kwa malori na tshirt juu. Hivi hamna ma think tank wakawasaidia kubudi njia mbadala.
 
Katibu Mkuu UVCCM ,Mh.Shigela Martin akihutubia wananchi wa Mtwara

Tambwe Hiza wa CCM Makao Makuu akihutubia wananchi masuala muhimu ya kujenga nchi na yenye kuleta maendeleo kwa Taifa
Katibu mkuu wa umoja wa vijana wa CCM Martin Shigela amewataka wananchi wa mkoa wa Mtwara kujitokeza kwa wingi kutoa maoni yao wakati Tume ya kuratibu maoni ya katiba mpya itakapofika mkoani humo kukusanya maoni ya wananchi,amesema CCM haina agenda yoyote iliyojificha katika upatikanaji wa katiba mpya itakayotokana na utashi wa wananchi wenyewe ,alitilia mkazo kwa wananchi kutoa maoni yao kwa amani bila kuingilia uhuru wa wengine,aliwaasa kuangalia mambo ya muhimu ambayo wanaona yatasaidia kuiweka nchi katika amani na kuendelea kutoa fursa ya maendeleo kwa wananchi kama ilivyo sasa,kuhusu mgombea binafsi alisema CCM haipingi kama wapinzani wanavyotangaza na kama wananchi wanalitaka hilo katika kukuza demokrasia nchini waliseme na litatekelezwa bila wasi wasi na kwamba CCM ndiyo itafaidika zaidi kwa kuwa wanachama wake hawataenda upinzani kutafuta nafasi za kugombea kama ilivyo sasa ambapo wanakwenda huko huku wakiamini vyama hivyo havina sera yoyote ya maendeleo ya Taifa zaidi ya kutaka utawala,alielezea fursa mbali mbali za mkoa huo zilizoletwa na serikali ya CCM na zitakazoendelea kuletwa katika kipindi kifupi kijacho,kabla ya hapo mjumbe aliefuatana naye katika msafara wake Tambwe Hiza alizungumzia hali ya nchi iloivyokwenda mbele kimaendeleo tangu tulipopata uhuru ikiwa nin pamoja na uanzishaji wa shule nyingi za msingi karibu na maeneo wanayoishi wananchi kinyume na hali ilivyokuwa kabla ya kujitawala na miaka ya mwanzo ya uhuru ambapo kila Tarafa ilikuwa na shule moja ya msingi jambo lililopelekea watoto kutembea umbali mkubwa kwenda shule,aliwabeza wanaodai miaka 50 kuwa hakijafanyika kitu kwa kutoa mifano ya ya vyuo vikuu vilivyoanzishwa baada ya uhuru ambavyo havikuwepo kabla idadi ya wanafunzi wanaoingia sekondari hivi sasa akitolea mfano wa idadi ya watoto 5 kati ya watoto 100 waliofaulu waliokuwa wakienda sekondari wakati wa serikali ya awamu ya kwanza kwa kuwa wakoloni hawakujenga za kutosha,wanafunzi waliongezeka kufikia 13 wakati wa awamu ya pili,21 awamu ya tatu na awamu hii ya Rais Kikwete imefikisha 97 kati ya mia huku baadhi ya mikoa ikifikia 100/100

wanachama wa nyinyiem bwana yani wanaonekana kama mazombie vile yani wanafata upepo tuuuuu
 
aisee watu wengi sana hawa zaidi ya watu milion moja kweli ccm wameteka
 
Nitaitumia elimu yangu katika kuijenga nchi mpya ya Mtwara (Mtwara Republics)

CCM na CDM wote mbaafuuu

Tunaanzisha CCM Mtwara, Just wait!!!

@PJN at Mtwara Gas City
 
Wabunge wenu wooote tunawatoa!!!
Hawa Ghasia, Mkuchika, Njwayo, Mkapa, Hokororo wa Masasi....... Woooote ni vichwa maji!!!!!

Vijana tunaandaa utaratibu wa hiyari wa kuwafukuza!!!!!


@PJN at Mtwara Gas City
 
mbonaZomba.Ritz.Rejao.Njiwa na pro CCM wengine hawatii neno hapa au wapo sabasaba kusheherekea sikukuuu.?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom