Mi nimemwelewa Nguli: Behind all dirty jokes of ufisadi, Nimrod is arround. halafu wakubwa wote wanamheshimu....the pics says more than we can imagine. haklafu unadhani kuna siku Obama ataikemea Tanzania? Thubutu!
Ataendelea kutuchekea ili wa Kenya watutawale vizuri kwa kupitia mikataba inayoshauriwa na wajanja kama Nimrodi, Chenge Werema, Ngeleja and all that you can mention......