Angekuwa na akili angeweka account pembeni awe ana deposit hela kidogo kidogo kila mwezi. Sijui kwann wanawake wakiona hela wanachanganyikiwa wanakuwa wendawazimu. Tazama hata Kylin wa mengi, ameona hela nyingi baada atulize akili anajikuta yeye Kim Kardashian anataka kuishi maisha ya kujiachia...