Ufisadi na umaskini upo katika kila nchi kaka. Sije ukadhani kwamba haupo katika nchi zile zilizoendelea, kwa maana vyombo vya habari na serikali za huko huyaficha tu mambo haya.
Tia bidiii kivyako na wenzako mjenge nchi yenu ili umaskini upungue. Nami najitahidi kufanya hivyo hivyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.