Picha hizi hatuwatendei haki Polisi

Picha hizi hatuwatendei haki Polisi

Haya asante mkuu kuna nyingine ninayo hapa picha mupyaaaa ya jana tu JWTZ kauchapa kweli kweli nielekeze namna ya ku-upload nitupie naye huyu kiote nyasi, ila ni jamaa yangu maskini sema anaboa mambo yake ya kikuda

hahahahahaaa wee jamaaabumenichekesha sana kiukwelii usifanye ivo kitaota kwelii watu tupo makin sana
 
Tutatunga sheria kali, tutaweka usimamizi mkali, tutakuwa wakali. Mbwembwe zote ni kwa watu masikini tu. Tz raha tupu.
 
aisifiaye mvua imemnyea...wadharirishwe tuu (in mizengo voice)
 
Lakini mleta mada tuende mbele turudi nyuma,unafaham dhamana ya askar police akiwa ndani ya uniform?

Kufanya jambo la ajabu kama lile ilikuwa ni kuikosea adabu bendera viunoni mwao.wanastahili,tustafute huruma kwa kusema eti mbona furani ni nani amefanya hakuna kilichotokea.tunakosea kosa ni kosa ila kila mtu anajua kuwa amesimamia wapi nchi hii ili asianguke.

Yaani kuna kaswali kanajirudia kichwani hivi walishindwa nn kuvumilia mpaka watoke kwenye majukumu???,na kwann wapige picha???.wakajaribu kilimo sio mbaya.

Alafu lile la kike lina pete ya ndoa.maza fanta.

nmekuelewa sana mkuu..... Nafkiri hujanisoma vizr pale mwanzo nilivyoanza na hii thread.

Kitendo walichokifanya sio cha kimaadili ili kudhibit hii hali yafuatayo yangefanyika:
.. Adhabu kali ingetolewa kwa wahusika kuna adhabu nyingi sana za kijeshi.
.. Hapakuwa na ulazima saana wa kuwarusha kwenye mtandao badala yake huyu raia aliyewapiga picha angewashtua tu na kuwaonya.
.kitendo cha kuwafukuza hyo ni adhabu kubwa sana hailingani na kosa.

Tatizo letu tunayakomalia mambo ambayo hayana madhara kwa taifa ila yeynye madhara tunayapuzia.

Suala la mapenz huo ni udhaifu ambao hutokea kwa kila mtu kama ambavyo yaliwatokea akina Mzee wa mstuni komba, Machemli, Kapuya na wengneo.

Kuna makosa mengi ambayo tunatakiwa kuyakazia kama biashara za madawa ya kulevya, ujambazi, ubambikiaji kesi n.k
 
Nimefanikiwa kutembelea tovuti ya utoaji mikopo VICOBA ambayo ni www.vicobatanzania.wapka.mobi nimejiunga na kupatiwa mkopo nimechukua mil.10 mil.5 nahitaji kuwekeza ktk biashara ya duka la jumla la vinywaji mil.5 nyingine nataka kununua kiwanja.

Wana JF kwa mwenye wazo lolote au ushaur kuhusu biashara ya duka la jumla anisaidie nawaomba.

Huyu siyo mwenye account washaihack wajinga kama walivyofanya account yangu ya fb
 
kosa moja haliwezi kuhalalishwa kwa kosa lingine. Polisi wana makosa mengi ambayo sio rahisi kupata ushahidi. Wananchi wana usongo nao sana. Baadhi ya makosa hayo ni pamoja na kudai rushwa, kubambikia watu kesi, kuwapiga watuhumwa wakifika kituo cha polisi hata kabla ya kufika kituoni. Wananchi wanaofanyiwa madhira haya ni wananchi wanyonge wasio na kipato wala cheo. Tena wananchi hawa hufanyiwa na polisi wa vyeo vya chini. Wakubwa hawaguswi hata kidogo. Kwa ufupi ni kuwa katika nchi yetu wanyonge tunaoneana wenyewe kwa wenyewe wakati wakubwa hulindana wao kwa wao, hawatulindi sisi na wala hawajui uchungu tulionao. Mpaka wetu na wao ni mkubwa unaanzia kichwani 'Capture the brain, the trunk will follow by itself' Akili zetu bado hazijajua kama tunaumizana wao kwa wao hivyo kujiongezea shida juu ya shida. Tumetekwa akili kama mtumwa kulindwa na mtumwa mwenzie unyapala ni kilemba cha ukoka tu.
Polisi hawa wana makosa gani wakati sifa mojawapo ya kuajiriwa kazi ya polisi lazima uwe rijali na mapenzi humea popote na wakati wowote, mapenzi nidawa ya msongo wa mawazo, huondoa uchovu. Sio ajabu kukuta boss anapendana na PS (Katibu muhtasi) wake tena pengine ofisini mbele ya picha ya Rais.
Kibaya zaidi hawa polisi walipigwa picha na polisi mwenzao. Wakubwa, licha kupeana mapenzi kazini pia huhongana vyeo na wananchi tunawalipa wapenzi wao mishahara kwa kodi zetu. Si nia yangu kuwa wadogo tusiwe waadilifu la hasha, nataka tuige kusaidiana kama wanavyosaidia wakubwa wetu

mkuu tutambue kuwa kazi ya uaskari ni kazi ambayo inaenda kwa amri kutoka juu na hyo amri hupokewa na askari wa chini ambaye ndio mtendaji na haitakiwi kujadiliwa. Ukijadili amri ya mkuu wako tayar umekiuka maadili ya kazi.

Nirudi kwenye pointi yako:
kitendo cha askari mdogo kumg'ang'ania mtuhumiwa hyo inakuwa ni amri kutoka juu, yule askari mdogo yeye ni ndio afande tu.

Tukubali tu kuwa askari wetu wametolewa kafara na wanaangamia kwa makosa yasiyo wahusu
 
kosa moja haliwezi kuhalalishwa kwa kosa lingine. Polisi wana makosa mengi ambayo sio rahisi kupata ushahidi. Wananchi wana usongo nao sana. Baadhi ya makosa hayo ni pamoja na kudai rushwa, kubambikia watu kesi, kuwapiga watuhumwa wakifika kituo cha polisi hata kabla ya kufika kituoni. Wananchi wanaofanyiwa madhira haya ni wananchi wanyonge wasio na kipato wala cheo. Tena wananchi hawa hufanyiwa na polisi wa vyeo vya chini. Wakubwa hawaguswi hata kidogo. Kwa ufupi ni kuwa katika nchi yetu wanyonge tunaoneana wenyewe kwa wenyewe wakati wakubwa hulindana wao kwa wao, hawatulindi sisi na wala hawajui uchungu tulionao. Mpaka wetu na wao ni mkubwa unaanzia kichwani 'Capture the brain, the trunk will follow by itself' Akili zetu bado hazijajua kama tunaumizana wao kwa wao hivyo kujiongezea shida juu ya shida. Tumetekwa akili kama mtumwa kulindwa na mtumwa mwenzie unyapala ni kilemba cha ukoka tu.
Polisi hawa wana makosa gani wakati sifa mojawapo ya kuajiriwa kazi ya polisi lazima uwe rijali na mapenzi humea popote na wakati wowote, mapenzi nidawa ya msongo wa mawazo, huondoa uchovu. Sio ajabu kukuta boss anapendana na PS (Katibu muhtasi) wake tena pengine ofisini mbele ya picha ya Rais.
Kibaya zaidi hawa polisi walipigwa picha na polisi mwenzao. Wakubwa, licha kupeana mapenzi kazini pia huhongana vyeo na wananchi tunawalipa wapenzi wao mishahara kwa kodi zetu. Si nia yangu kuwa wadogo tusiwe waadilifu la hasha, nataka tuige kusaidiana kama wanavyosaidia wakubwa wetu

Mr bantullile umeongea points tupu
 
Nimefanikiwa kutembelea tovuti ya utoaji mikopo VICOBA ambayo ni www.vicobatanzania.wapka.mobi nimejiunga na kupatiwa mkopo nimechukua mil.10 mil.5 nahitaji kuwekeza ktk biashara ya duka la jumla la vinywaji mil.5 nyingine nataka kununua kiwanja.

Wana JF kwa mwenye wazo lolote au ushaur kuhusu biashara ya duka la jumla anisaidie nawaomba.

acha bangi hujaliona jukwaa labiashara na uchumi?
 
Hili in sahihi kabisa, uongozi wa jeshi la polisi ni waonezi, hivi ni sahihi kwa Kamuhanda aliyekuwa RPC Iringa aliyeamuru Daudi Mwangosi auwawe astaafu kwa heshima badala ya fedheha? Bado kuna suala la Chagonja na mke wake na sakata la udalali wa ajira za upolisi, wao wanakomaa na vidagaa tu

the world is unfair,Ni wakati sass WA kuamka
 
.. Mukhabarat elewa siku zote anayepewa adhabu au kuwajibishwa katika nchi hii ni mtu wa chini siyo kigogo au mwenye cheo, ukiona mwenye cheo anawajibishwa ama kufikishwa katika vyombo vya sheria basi juaaa huyo ni kafara au hakulaa na wenzake
turudi kwenye mada hii hao polisi wa barabarani wangesimamishwa tu miezi kadhaa watie akili tatizo media na mitandao ya kijamiii imewashupaliaaaa, kisa picha zao zimekaa kimahabaa camon guys kuna viongozi wangapi na wakubwa wangapi wakuu wa polisina vyama na serikali washafanyaaa upuzi hadi wengine picha zao kupatikana lakini hawajasemwa wala kuwajibishwa..nchi hii siku zote mtu wa chini ndiyo anakandamizwa awe raia awe polisi awe mwanajeshi awe mkulimwa etc

wachina wanasema unachuna ngozi kiroboto
 
Last edited by a moderator:
Let freedom of speech reign.

Mleta mada unadhalilisha the noble provisions for freedom of speech.
 
Nimefanikiwa kutembelea tovuti ya utoaji mikopo VICOBA ambayo ni www.vicobatanzania.wapka.mobi nimejiunga na kupatiwa mkopo nimechukua mil.10 mil.5 nahitaji kuwekeza ktk biashara ya duka la jumla la vinywaji mil.5 nyingine nataka kununua kiwanja.

Wana JF kwa mwenye wazo lolote au ushaur kuhusu biashara ya duka la jumla anisaidie nawaomba.

hakuna mjinga wa kumtapeli humu..peleka facebook huu ushuzi wako
 
Sio picha tu waungwana kuna shida kubwa mimi nadhani kati ya jeshi la polisi na baadhi/sehemu ya wananchi! !!

Inapotokea ndugu zetu polisi wanapatwa madhila unaweza kuona watu wanafurahi, kiasi kuomba "wangekufa wote" na kama hayo, hii sii ishara nzuri hata kidogo, yawezekana tunaona moshi tu ila moto bado umejificha.

Ni wakati sasa pande zote kujiangalia upya! !

Ndio polisi wetu hao hao anaowatetea mtoa mada!
 

Attachments

  • 1413144438142.jpg
    1413144438142.jpg
    50.4 KB · Views: 242
Nimefanikiwa kutembelea tovuti ya utoaji mikopo VICOBA ambayo ni www.vicobatanzania.wapka.mobi nimejiunga na kupatiwa mkopo nimechukua mil.10 mil.5 nahitaji kuwekeza ktk biashara ya duka la jumla la vinywaji mil.5 nyingine nataka kununua kiwanja.

Wana JF kwa mwenye wazo lolote au ushaur kuhusu biashara ya duka la jumla anisaidie nawaomba.

Umehack akaunti za watu kule facebook na huu uzushi wako umeona hujafanikiwa ukaamua kuhamia JF. Ila kumbuka huku ni kwa great thinkers sidhani kama utapata mtu wa kumtapeli..
Note:wakuu kaeni chonjo na matangazo ya hivi
 
Mungu awasaidie binadamu hawa, siku hizi naona trafik hawana amani kabisa. Pigeni kazi bila woga, andameni mkinyanyaswa
 
mleta mada anachojaribu kusema ana manisha kiongozi na mtu wa chini wakifanya makosa wote waadabishwe sawa... kunguni wa ulaya
 
Last edited by a moderator:
Waliozirusha hzi picha picha kwenye social networks ni hao askari wenyewe, sasa sisi kama wananchi tuache kuangalia kitu tulicholetewa? yaani mwananmke yupo uchi halafu nisiangalie maeneo muhimu? haiwezekani,
 
mleta mada anachojaribu kusema ana manisha kiongozi na mtu wa chini wakifanya makosa wote waadabishwe sawa... kunguni wa ulaya
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom