Huli mboga za majani za kutosha WeweNaombeni msaada wenu nimepatwa na Hili tatizo mara ya kwanza nikaenda pharmacy wakanipa malt vitamin mavidonge makubwa jumla 10 Kila siku nikawa nameza kimoja tatizo likaisha nimekaa mwezi tatizo limerejea na sipendi kabisa kumeza dawa nafanyeje wakuu.
Na Hili tatizo linasababishwa na Nini wakati mwingine ulimi unauma Sana hasa wakati wa kula Hadi nakosa Raha .View attachment 984090
Sent using Jamii Forums mobile app
Duhh! yaani usipokula mboga za majani za kutosha unapata upungufu wa vitamini C?Huli mboga za majani za kutosha Wewe
Yaweza kuwa pia Ni UPUNGUFU WA VITAMIN C
Naombeni msaada wenu nimepatwa na Hili tatizo mara ya kwanza nikaenda pharmacy wakanipa malt vitamin mavidonge makubwa jumla 10 Kila siku nikawa nameza kimoja tatizo likaisha nimekaa mwezi tatizo limerejea na sipendi kabisa kumeza dawa nafanyeje wakuu.
Na Hili tatizo linasababishwa na Nini wakati mwingine ulimi unauma Sana hasa wakati wa kula Hadi nakosa Raha .View attachment 984090
Sent using Jamii Forums mobile app
Anamaanisha juice ya machungwa.Nenda hospitali.
Kama ni fungus hizo dawa zinazidi kushusha tu immunity yako na fungus zitaongezeka.
Orange juice inaweza kukusaidia kwa wingi pia. Pole sana.
Sent using Jamii Forums mobile app