Super H
JF-Expert Member
- Oct 6, 2012
- 1,070
- 405
Naombeni msaada wenu nimepatwa na Hili tatizo mara ya kwanza nikaenda pharmacy wakanipa malt vitamin mavidonge makubwa jumla 10 Kila siku nikawa nameza kimoja tatizo likaisha nimekaa mwezi tatizo limerejea na sipendi kabisa kumeza dawa nafanyeje wakuu.
Na Hili tatizo linasababishwa na Nini wakati mwingine ulimi unauma Sana hasa wakati wa kula Hadi nakosa Raha .
Sent using Jamii Forums mobile app
Na Hili tatizo linasababishwa na Nini wakati mwingine ulimi unauma Sana hasa wakati wa kula Hadi nakosa Raha .
Sent using Jamii Forums mobile app