PICHA:Hili tatizo dawa yake Ni Nini ? Msaada pls

Super H

JF-Expert Member
Oct 6, 2012
1,070
405
Naombeni msaada wenu nimepatwa na Hili tatizo mara ya kwanza nikaenda pharmacy wakanipa malt vitamin mavidonge makubwa jumla 10 Kila siku nikawa nameza kimoja tatizo likaisha nimekaa mwezi tatizo limerejea na sipendi kabisa kumeza dawa nafanyeje wakuu.

Na Hili tatizo linasababishwa na Nini wakati mwingine ulimi unauma Sana hasa wakati wa kula Hadi nakosa Raha .
IMG_20190102_192328_4.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naombeni msaada wenu nimepatwa na Hili tatizo mara ya kwanza nikaenda pharmacy wakanipa malt vitamin mavidonge makubwa jumla 10 Kila siku nikawa nameza kimoja tatizo likaisha nimekaa mwezi tatizo limerejea na sipendi kabisa kumeza dawa nafanyeje wakuu.

Na Hili tatizo linasababishwa na Nini wakati mwingine ulimi unauma Sana hasa wakati wa kula Hadi nakosa Raha .View attachment 984090

Sent using Jamii Forums mobile app
Huli mboga za majani za kutosha Wewe
Yaweza kuwa pia Ni UPUNGUFU WA VITAMIN C
 
Naombeni msaada wenu nimepatwa na Hili tatizo mara ya kwanza nikaenda pharmacy wakanipa malt vitamin mavidonge makubwa jumla 10 Kila siku nikawa nameza kimoja tatizo likaisha nimekaa mwezi tatizo limerejea na sipendi kabisa kumeza dawa nafanyeje wakuu.

Na Hili tatizo linasababishwa na Nini wakati mwingine ulimi unauma Sana hasa wakati wa kula Hadi nakosa Raha .View attachment 984090

Sent using Jamii Forums mobile app

Hiyo inawezekana kabisa ikawa ni oral thrush. Maambukizi flani hivi ya fungus.

Antifungal medications zaweza kutibu hiyo hali.

Ila, muhimu kwenda spitali.

Usizitegemee sana hizi virtual diagnostics.
 
Kwa nn unaenda pharnacy Badala ya hospital? Pharmacy wanauza dawa hospital wanatoa huduma..

sent from this unknown device
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom