Hapo ni kama mahakama itafutilia mbali mpango wa CCM kutaka katiba mpya wanayotaka wao na si wananchi wanayotaka. Ila sidhani kama ni CDM. Wao wanawaelewesha wananchi kinachoendelea ili siku ya siku wajue hali ya maisha yao inategemea sana katiba ya nchi.