Nguvu moja
JF-Expert Member
- Oct 20, 2017
- 3,371
- 2,715
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]sawa, kiba wetu yeye analo lakini hapendi kulitumia kapaki tu hom
Dogo waekeze katika mambo ya muhimu, wapo wenzie waliwekeza visivyo na sasa wapo hoi.Katika ukurasa wa Instagram tttrautouprades, wabunifu na waongeza vionjo vya shape za magari makali wameonyesha ndinga jipya la msanii diamond platnumz.
Landcruiser 200 seriesView attachment 778880View attachment 778881
Na kwelistar kuendesha land cruiser ni ushamba wa Hali ya juu maybe Kama yakwendea mbugani kutalii
Gari hizi wanatembelea wabunge example msukuma na selasiniNa kweli
Yaani una uwezo halafu unanunua Japanese badala ya German au British cars
Sasa akipata hapo wanajua ni waziri wa kilimo
Mmhh! Mie napita[emoji23] [emoji23]star kuendesha land cruiser ni ushamba wa Hali ya juu maybe Kama yakwendea mbugani kutalii
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Na kweli
Yaani una uwezo halafu unanunua Japanese badala ya German au British cars
Sasa akipata hapo wanajua ni waziri wa kilimo
Hahahaha labda anataka kugombea ubungeGari hizi wanatembelea wabunge example msukuma na selasini
Hapa wabongo ndio nnapowapenda tu...kama vile wewe umewekeza hivyo vitu unavyomwambia mwenzioDogo waekeze katika mambo ya muhimu, wapo wenzie waliwekeza visivyo na sasa wapo hoi.