Picha hii inakupa mtazamo gani.

Picha hii inakupa mtazamo gani.

politiki

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2010
Posts
2,376
Reaction score
1,517
02_11_qawzza.jpg
Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja (kushoto) akibadilishana mawazo na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, January Makamba wakati walipotembelea Bwawa la Mtera kuangalia hali ya uzalishaji wa umeme nchini. (Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO).

MY TAKE:
Picha inanipa jawabu la kwanini ngeleja amekuwa akisita kumjibu makamba hadharani kuhusiana na barua aliyomhandikia. kila siku mara nimepokea barua sijaisoma, oh mara nitamjibu kwa barua kama alivyoniandikia wakati akijua wazi kuwa haya ni mambo yanayouhusu public.Hapa inaonekana kiana ngeleja akijaribu kumuimbisha kuhusu dowans. watalaamu wa body language naomba mtusaidie.
 
wasubir ya misri tunisia mana alisema tuwalipe dowans ipo siku kama sio yeye basi ni watoto wake au ndugu zake akumbuke sadamu kule iraq nduguze awapo tena duniani
 
02_11_qawzza.jpg
Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja (kushoto) akibadilishana mawazo na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, January Makamba wakati walipotembelea Bwawa la Mtera kuangalia hali ya uzalishaji wa umeme nchini. (Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO).

MY TAKE:
Picha inanipa jawabu la kwanini ngeleja amekuwa akisita kumjibu makamba hadharani kuhusiana na barua aliyomhandikia. kila siku mara nimepokea barua sijaisoma, oh mara nitamjibu kwa barua kama alivyoniandikia wakati akijua wazi kuwa haya ni mambo yanayouhusu public.Hapa inaonekana kiana ngeleja akijaribu kumuimbisha kuhusu dowans. watalaamu wa body language naomba mtusaidie.

Mi naona kama vile wachezaji wa timu timu moja (Captain na mshambuliaji wake hatari) wakati wa half time wanapanga jinsi watakavyo rudisha goli walilofungwa na timu pinzani na jinsi watakavyo bandika goli lingine la ushindi kabla ya kipenga cha mwisho......Sijui na makengeza?
 
"wewe endelea kunikandia kwenye media, then utachukua ujiko na mimi kama waziri nitatoa majibu yafuatayo ambayo ukijanicheki jioni pale kwa RA tutapanga hii chess game ya kila mtu kujisafisha"
Deal?
Yes, Deal!!
 
NGELEJA:Unajua dogo sasa hivi kuna deal inakuja. MAKAMBAHio ni moja....sasa si uliona ile barua nilipokuandikia ndio imenipa uenyekiti asante kwa ushauri wako
 
Mimi naona bado mambo yaleyale tu. Kutembelea mabwawa haisadii. Tatizo la umeme haliwezi kumalizika kwa kutembelea mabwawa.
 
Picha inatuambia kwamba mambo yaliyoonekana hapo yasiwe gumzo kwingine! Wafichiane siri wasiumbuane!
 
Vilaza wawili wanatembea..... Japo mmoja ni mwenyekiti wa kamati ya nishati, anajidai sasa hv anauchungu na umeme kuwa janga la kitaifa - lkn nwisho wa siku amesahau alikua mshauri / mwandishi wa hotuba ya JK na kilaza mwenzie akiboronga hivyo hivyo madini/nishati.... Mtazamo wa hapo sana sana wanajipanga watokeje ili wahakikishe mitambo ya DOwans inanunuliwa......
 
NI upuuzi mtupu kwa mtu aliyemwandikia barua halafu kuwapa safari moja ni kama njia ya kumtuliza dogo asichonge sana kwani anaweza kuiabisha serikali kuliko ujiko anaoutaka kujijengea, haya ndiyo maona yangu.
 
walipokea poshi ya shilingi ngapi?
anamwambia tulia mazee...usijifanye mjanja kwa kuja na spidi 100! wote tuko chama cha mafisadi...unategemea nini?
 
Changa la macho wote wako kubehewa moya. Hakuna cha barua wala waraka. Siku yaja!
 
Tazama sasa yale yaliyoandikwa na kuhusu nchi ya kufikirika yanatokea hapa.
 
02_11_qawzza.jpg
Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja (kushoto) akibadilishana mawazo na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, January Makamba wakati walipotembelea Bwawa la Mtera kuangalia hali ya uzalishaji wa umeme nchini. (Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO).

MY TAKE:
Picha inanipa jawabu la kwanini ngeleja amekuwa akisita kumjibu makamba hadharani kuhusiana na barua aliyomhandikia. kila siku mara nimepokea barua sijaisoma, oh mara nitamjibu kwa barua kama alivyoniandikia wakati akijua wazi kuwa haya ni mambo yanayouhusu public.Hapa inaonekana kiana ngeleja akijaribu kumuimbisha kuhusu dowans. watalaamu wa body language naomba mtusaidie.

kuna mambo matatu nataka nikwambie,la kwanza wananchi wanataka kuandamana kama misri...........................
 
Hapo inaonekana waziri anamwambia Dogo acha mambo ya .... Hivi vitu inabidi uvielewe haraka haraka sio lazima mkubwa akuambie..kibarua hutaki?...alafu anajibiwa ... Kibarua nataka sababu Kwanza...watoto wangu watakula nini?Mbili maisha ya starehe kama hivi mazuri
 
wasubir ya misri tunisia mana alisema tuwalipe dowans ipo siku kama sio yeye basi ni watoto wake au ndugu zake akumbuke sadamu kule iraq nduguze awapo tena duniani
Duh!mkuu mbona unakwenda mbali sana!!
 
02_11_qawzza.jpg
Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja (kushoto) akibadilishana mawazo na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, January Makamba wakati walipotembelea Bwawa la Mtera kuangalia hali ya uzalishaji wa umeme nchini. (Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO).

MY TAKE:
Picha inanipa jawabu la kwanini ngeleja amekuwa akisita kumjibu makamba hadharani kuhusiana na barua aliyomhandikia. kila siku mara nimepokea barua sijaisoma, oh mara nitamjibu kwa barua kama alivyoniandikia wakati akijua wazi kuwa haya ni mambo yanayouhusu public.Hapa inaonekana kiana ngeleja akijaribu kumuimbisha kuhusu dowans. watalaamu wa body language naomba mtusaidie.

Januari: "usijali mkuu. zile gelesha tu. mimi nimetumwa kummaliza Sitta na kambi yake. Si unakumbuka ile ishu ya bahasha za lanchi ya milioni? nataka kuonesha umma wa watanzania kwamba Sitta alikuwa anaendesha bunge kwa kugawa bahasha. pia ni mkakati wangu wa kumpoteza kwenye ramani ya siasa za bumbuli bwana shelukindo ambaye alikuwa anaongoza kamati ya nishati na madini".
 
Back
Top Bottom