Nadhani hawa ni askari wa Hifadhi za Wanyama wakijiandaa kupambana na majangiri.
Hata nchi zenye ubabe kama wa Idd Amin hawezi kuwapa silaha za namna hii Polisi wanaokwenda kukabiliana na raia wasio na silaha.
Askari wenyewe wa Tanzania ambao hawachelewi kusema "Mara ribunduki rake rikajitriger, hajakaa sawa, rikajifyatua bira yeye kujua. Bahati mbaya rikamgeukia marehemu na kumjeruhi na ndipo aripokata roho bira kukusudia".
Mambo haya!!!!!
Nadhani hawa ni askari wa Hifadhi za Wanyama wakijiandaa kupambana na majangiri.
Hata nchi zenye ubabe kama wa Idd Amin hawezi kuwapa silaha za namna hii Polisi wanaokwenda kukabiliana na raia wasio na silaha.