Picha halisi: Hii ndio Mbagala

😁😁😁😁gar yangu ni hiyo nyeupe hapo kushoto nimeipak masakuu hapo.
 
Sisi tuko busy na Posta yetu. Maana kila movie tutapaonyesha, akija Kagame tutamzungusha mtaa huu na kutokea upande wa pili lazima watakubali kazi.
Aiseee kwakusema ukweli Bongo vimejaa vibanda tu mitaani.
Huku uswahilini kwetu kuko hovyo lakini eti ndo jijini hapa.
 
Majiji ya wenzetu uswazi unakutafuta wakati huku kwetu 70% ni uswazi ushuwani unapatafuta
 
kuna wanaume wa dar halafu kuna wanaume wa mbagala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…