MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,947
- 26,082
Ili ukazifanyie nini sasa, maana hatujasikia mkewe mwenye mume wake na ambaye yupo naye Nairobi akisema ni feki au wewe ni bi mdogo unataka haki ya kumuona mumeo na umenyimwa?
hahahhhaa jaman !kwahyo kumbe Barbarosa anappumliwa ? na hii ni mara ya 2 naskia hizo tetesi aisee !kwamba wamanisha anautafta uke wenza kwa ngv !kwamba anatamani sana Lissu awe mumewe???