Maigizo ya kabudi ya kuzuia trend za picha zimefeli , kwa mshatengeneza igizo jingine ili zikirushwa tu MNA bypassKama hazikuwa fake tunaomba tuone nyingine, mbona hamturushii mpya?
Pale chuki kwenye politikii zinapohamishiwa kwenye afya na uhai wa mtu. Tukumbuke kuna maisha baada ya chama tawala na upinzani....
Chadema wanamtumia Lissu kqa manufaa yao binafsi.....tehe tehe tehe....Huwo ushauri wape chadema ambao hawataki Tundu Lisu apumzike na kutwa kumtumia kwa manufaa yao binafsi!
Huwo ushauri wape chadema ambao hawataki Tundu Lisu apumzike na kutwa kumtumia kwa manufaa yao binafsi!
LIKEHayo mambo ya kupiga piga picha kwa kila event anayaweza ndugu yako bashite
Kwa hiyo hadi ile clip ya kushukuru nayo unataka itumwe nyingine?
Wewe ni hater.
Ili ukazifanyie nini sasa, maana hatujasikia mkewe mwenye mume wake na ambaye yupo naye Nairobi akisema ni feki au wewe ni bi mdogo unataka haki ya kumuona mumeo na umenyimwa?Kama hazikuwa fake tunaomba tuone nyingine, mbona hamturushii mpya?