Hii picha inatafakarisha sana. Hebu muangalie Nyerere anavyomtolea Edward macho ya kuuliza na kutafakari. Kama vile kuna jambo ambalo hakutegemea kulisikia kutoka kwa Moringe na sasa kwenye brain yake anahoji uaminifu wa Sokoine kwakeKuna picha ukizitama zinahubiri hata bila kuzungumza au kuandika chochote, Mwenyezi Mungu atawalipa
View attachment 2040366
View attachment 2040367