PICHA: Edward Lowassa akiwa na wajukuu zake katika matembezi ya jioni

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,899
Waziri mkuu mstaafu na mjumbe wa kamati kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo Mh. Edward Lowassa akiwa na wajukuu zake katika matembezi ya jioni.

Lowassa yuko shambani kwake Handeni mkoani Tanga kwa mapumziko ya sikukuu za mwisho wa mwaka.


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…