Tunapozidi kuwa wengi ndiyo wanazidi kukata tamaaa ya kuiba. jamani tuingie kazini
Balozi wa Tanzania Afrika kusini ni "mwanafamilia" wa Kikwete.Kuna watu wanaweweseka. Hivi Timu ya familia ya JK watafanya kazi gani baada ya Sept 31? Na hizo kura za wizi zinatoka kwa mzinzi mwenzake wa SA? Hivi ni nani ataweza kumvaa balozi wa SA Dar na kumpiga maswali kuhusu huu umangi meza? Je balozi wa Tanzania aliye SA anahusika na hii scandal ya kuchapisha makaratasi ya kura?
Mlio SA hebu fuatilieni au Ka-inzi kafanye kazi yake.
Kuna watu wanaweweseka. Hivi Timu ya familia ya JK watafanya kazi gani baada ya Sept 31? Na hizo kura za wizi zinatoka kwa mzinzi mwenzake wa SA? Hivi ni nani ataweza kumvaa balozi wa SA Dar na kumpiga maswali kuhusu huu umangi meza? Je balozi wa Tanzania aliye SA anahusika na hii scandal ya kuchapisha makaratasi ya kura?
Mlio SA hebu fuatilieni au Ka-inzi kafanye kazi yake.