Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,183
chama kinachopendwa na kila Mtanzania mwenye uchungu na nchi yake, Chama Cha Demokrasina na Maendeleo, CHADEMA, leo kimefanya tukio la kufungua Msingi katika Mtaa wa The Place uliopo katika kata ya Kimanga, Jijini Dar Es Salaam, katika shughuli ambayo iliendeshwa kwa ufanisi mkubwa na Mwenyekiti wa Chama Mtaa, Bwana Msafiri, na Makamanda wengine watiifu kwa Chama.