msemakweli10
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 229
- 46
Inafurahisha sana. Mategemeo yetu dola uchaguzi ujao.
Asante. Nimependa ubunifu wa jiwe la msingi la bendera. Nashauri yote yajengwe ivo kujitofautisha.
....Brovo MAKAMANDA ....jiwe la msingi ubunifu makini kabisa!!!!chama kinachopendwa na kila Mtanzania mwenye uchungu na nchi yake, Chama Cha Demokrasina na Maendeleo, CHADEMA, leo kimefanya tukio la kufungua Msingi katika Mtaa wa The Place uliopo katika kata ya Kimanga, Jijini Dar Es Salaam, katika shughuli ambayo iliendeshwa kwa ufanisi mkubwa na Mwenyekiti wa Chama Mtaa, Bwana Msafiri, na Makamanda wengine watiifu kwa Chama.
...Good work!!!!!
View attachment 118579
View attachment 118580
View attachment 118581
View attachment 118582
View attachment 118583
View attachment 118584
View attachment 118585View attachment 118586
View attachment 118587View attachment 118588
View attachment 118589View attachment 118590
vichaa ni wale wanaotaka kukomboa nchi, wakati nchi iko huru.
Inabidi serikali ifungue hospitali za vichaa kila mkoa, hivi viroba ni hatari sana kwa ubongo
...
......Bhebhe Ng'wanangwa ng'wabheja sana mko juu geteh geteh !!!!
mtaji wa ccm ni ufisadi,chris lukosi ni m2 mjinga mno ambae hajawahi kuongea point tokea azaliwemtaji wa ccm ni viroba,kanga,kofia,tisheti na buku saba
Inabidi serikali ifungue hospitali za vichaa kila mkoa, hivi viroba ni hatari sana kwa ubongo
....MSALANI huru.....
Naona umesha bwia sembe, ni vema ukapumzika.Inabidi serikali ifungue hospitali za vichaa kila mkoa, hivi viroba ni hatari sana kwa ubongo
hivi huyo Chris Lukosi ni mzima? wakati mwingine nadhani anatumia kichw cha chini ktk kufikiri,nipeni cv yake!