Picha: CHADEMA M4C Mtwara

Mwandishi wa habari hii katika blog ya CCM alitakiwa kutuulizia sisi tuliokuwepo pale kwenye mkutano ili tumpe habari nzima ilivyokuwa na sio kutunga hadithi kama hii.
 


Angalieni wenyewe!!!!
 
I'm trying to read, listen... to get sera mpya, kitu kipya kinaletwa na CDM... for real I'm lost, other than ushabiki... sincerely I see/read/listen nothing new.... please guys... serious help... tell me... things... I'm missing...
Naomba kunisaidia wakuu wazalendo wenzangu please... take this serious.
 

Kama ni mtu mwenye nafasi kubwa katika serikali hii, nakuelewa kwa nini unasema hivyo.

Kama ni mtu wa kawaida, jibu unalo hata hapo unapoishi.

Kama ni mtu wa kawaida na bado huna jibu, basi huenda kuna ka usingizi kamekupitia, amka!!!
 
makamanda nawatakieni mapambano mema, millya wafungue watanzania hasa kusini kutoka gizani ili wavue magamba na wavae gwanda M4C slogan ni noma sana ikulu hiyooooooooo!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kama ungepewa nafasi uongee ungeongea nini.
 
Kichwa cha habari hakiendani. Mods badilisha au ondoa hii thread na unganisha na ile nyingine.
 
Maige ameshasema(ccm) nyinyi-em waongo,wanawivu na wapenda majungu
 
mzeeeeeeeeee kandamiza mpaka magamba yavuke
 
Hapa hakuna cha ccm wala cdm,huku kusini (lindi na mtwara) wanaipenda cuf.

Unatokwa povu na tathmini za mwaka 47 acha uvivu kafanye current analysis ndo uje kubishana na wakubwa zako basi. Hata Igunga ilikuwa ni ngome yenu wote nyie Magamba A na B lakini kiko wapi sasa
 
Kama ni mtu mwenye nafasi kubwa katika serikali hii, nakuelewa kwa nini unasema hivyo.

Kama ni mtu wa kawaida, jibu unalo hata hapo unapoishi.

Kama ni mtu wa kawaida na bado huna jibu, basi huenda kuna ka usingizi kamekupitia, amka!!!

My LIKE button is still listerning/reading. Umemjibu vizuri sana mwanakujichetua huyo
 
kama Nape atakuja na kubisha juu ya M4C ntashangaa sana....
 
Hizi picha apelekewe Wasira aliyesema kuwa CHADEMA itakufa baada ya mwaka mmoja, kweli ukombozi ndio sasa. Kama Mtwara na Lindi wameamka basi nchi nzima imeamka.
 
kwa mujibu wa magamba blog, hakuna hata mtu mmoja amehamia ccm. aliye karibu na eneo la tukio atujuze.
 
Nifuraha sana. Mimi nimechangia tayari M4C, tukumbuke ni ghalama kubwa. Mungu yu upande wetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…