Inavyoelekea hakutakuwa na reform,...
Kuna Mijitu ina unasaba na mbowe ishaingia Chaumma.
Hii mijitu ninavyoiona, piga ua galagaza inaonekana Wazi wazi itaingia kwenye Uchaguzi..Mungu saidia.!
Sasa Mkisusa ni sawa, Lkn inakuwa ni nyie tu ndo mmesusa.!
Sa itakuwaje, hatwendi kwenye Uchaguzi kweli.?