Mdutch
JF-Expert Member
- Nov 17, 2011
- 214
- 77
Huku kazi ikizidi kupamba moto uko Uzini, huko Morogoro makamanda wa BAVICHA wanakimbiza ile mbaya. Mwenyekiti Heche na Katibu Mkuu Munishi. Wamefungua ofisi ya kata, wamezindua matawi manne, wamechangasha fedha kwa ajili ya ofisi na wamevuna wanachama zaidi ya 100 kutoka CCM na TLP akiwemo kiongozi wa uvccm kata ya kichangani. Haya ndio matukio ya Morogoro katika picha kama nilivyofanikiwa kuyapata.