Epateletech
Member
- Jun 17, 2015
- 41
- 14
Wana jukwaa naomba mawazo yenu juu ya Necta 2018 O-LEVEL kwa somo la Physics je ni Practical gani inaweza kutoka ili nijipange zaidi
Tusaidiane jamani
Tusaidiane jamani
uhakika nduguSoma simple harmonic au simple.pendelum.,moja wapo.inatoka.swali la.kwanza, swali.la pili pitia ohms law au kutafuta internal resistance ambayo jibu ni 0.3-05 ohms,
Pitia hizo, nimekupa hizo kwa uzoefu wangu ,pitia sana practical zote za aina ya pendelum na hookes law,uhakika ndugu
ShukuraniPitia hizo, nimekupa hizo kwa uzoefu wangu ,pitia sana practical zote za aina ya pendelum na hookes law,
Dk 5 ushamaliza swali, zinafojika haraka sana,
Swali la pili pitia maswali hasa ya kutafuta refractive index , kama unajua nalo linafojika
Kama hulipend ,swali la tatu huwa la umeme, hapo hasa pitia ohms law, na kutafuta internal resistance of cells
Wewe ndio mnaoanza mitihani kesho?Wana jukwaa naomba mawazo yenu juu ya Necta 2018 O-LEVEL kwa somo la Physics je ni Practical gani inaweza kutoka ili nijipange zaidi
Tusaidiane jamani
ndio mkuuWewe ndio mnaoanza mitihani kesho?
Kila la Kheri! Nina imani waalimu wenu wanawapa mitihani ya miaka ya nyuma kufanya mazoezi na kuwaeleza maswali gani hayakoseni. Halahala usijichanganye hapa dakika za mwisho kwa utakayoelezwa na wana JF wenzako.ndio mkuu
Tutakutafuta ww nyie Ndiyo mnaiba mitihanPitia hizo, nimekupa hizo kwa uzoefu wangu ,pitia sana practical zote za aina ya pendelum na hookes law,
Dk 5 ushamaliza swali, zinafojika haraka sana,
Swali la pili pitia maswali hasa ya kutafuta refractive index , kama unajua nalo linafojika
Kama hulipend ,swali la tatu huwa la umeme, hapo hasa pitia ohms law, na kutafuta internal resistance of cells
shukuraniKila la Kheri! Nina imani waalimu wenu wanawapa mitihani ya miaka ya nyuma kufanya mazoezi na kuwaeleza maswali gani hayakoseni. Halahala usijichanganye hapa dakika za mwisho kwa utakayoelezwa na wana JF wenzako.
Mitihani mema!
Kila la kheri bro.ndio mkuu
shukuraniDogo kila la kher ila soma kila kitu
shukuraniKila la kheri bro.
Acha upumbavu wako, hiyo nimetoa hints kutokana na uzoefu wangu ,jins ninavyoziona pepa za necta zinavyokuja,Tutakutafuta ww nyie Ndiyo mnaiba mitihan
Hiyo uliyotoa ni One month before
Acha Mara moja Hiyo tabia
We jamaa ni muhitimu kweli? Unauliza swali la kijinga sana, pasipotoka hapo unapo pahisi siutafeli.Acha kucheza na maisha yako itakuja kujuta.Soma ulchofundishwa kwa mujibu wa silabasiWana jukwaa naomba mawazo yenu juu ya Necta 2018 O-LEVEL kwa somo la Physics je ni Practical gani inaweza kutoka ili nijipange zaidi
Tusaidiane jamani