Given Edward
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 850
- 202
Naomba maelezo kuhusu isset() na functions in general. Sitaki copy and paste nimesearch sana tu lakini they ain't speaking my language. Ni kwa jinsi unavyoelewa wewe.
Ahsanteni
Ahsanteni
Naomba maelezo kuhusu isset() na functions in general. Sitaki copy and paste nimesearch sana tu lakini they ain't speaking my language. Ni kwa jinsi unavyoelewa wewe.
Ahsanteni
chines au?
Naomba maelezo kuhusu isset() na functions in general. Sitaki copy and paste nimesearch sana tu lakini they ain't speaking my language. Ni kwa jinsi unavyoelewa wewe.
Ahsanteni
Mimi nitajaribu kuelezea function
Function kwenye programming ni mstari au mistari ya codes inayofanya kazi fuani. kazi hii inaweza kuwa
Pia kwenye programing Kuna aina mbali mbali za functions. Zipo system/ Inbulit functions mfano kwenye C main() ni root function ya fucntion zote . Kwenye PHP kuna system functtion nyingi tu kama echo() , date (), isset(), etc Unaweza kuona list ya inbuilt funtions za php hapa
- sipme task kama kudisplay au kuprint kitu kwenye screen
- kuita function nyingine
- Kufanya task fulani. complex yenye fucnti nyingine ndani yake.
zadi ya inbulit function prgrammer anaweza kutengeza function zake. ukiangali CMS application nyingi zinatumia pia user defined function atika mambo ya tovuti.
Mfano
Badala ya kurdia Header na footer za ukurasa wa tovuti prohgramer atatengeneza functionya foooter ya header. Kwa hiyo ataandika coes za header au footer mara moja tu. ni kila mara atakapotaka itokee footer au header atakachfanya ni kuita( Calling) ile function.
faida
Nawasilisha
- faida moja wapo ya function ni kuwezesha ku re use code sehemu tofauti tofauti by just caling the spefic function.Kwa hiyo bila fuction prgram iiyonadikwa kwa mistari eg 300kwa kutumi functions basi inaweza kukamilika kwa mistari 1000 function zisipotumika.
function function_name(){
//code to be executed
}
Mimi nitajaribu kuelezea function
Function kwenye programming ni mstari au mistari ya codes inayofanya kazi fuani. kazi hii inaweza kuwa
Pia kwenye programing Kuna aina mbali mbali za functions. Zipo system/ Inbulit functions mfano kwenye C main() ni root function ya fucntion zote . Kwenye PHP kuna system functtion nyingi tu kama echo() , date (), isset(), etc Unaweza kuona list ya inbuilt funtions za php hapa
- sipme task kama kudisplay au kuprint kitu kwenye screen
- kuita function nyingine
- Kufanya task fulani. complex yenye fucnti nyingine ndani yake.
zadi ya inbulit function prgrammer anaweza kutengeza function zake. ukiangali CMS application nyingi zinatumia pia user defined function atika mambo ya tovuti.
Mfano
Badala ya kurdia Header na footer za ukurasa wa tovuti prohgramer atatengeneza functionya foooter ya header. Kwa hiyo ataandika coes za header au footer mara moja tu. ni kila mara atakapotaka itokee footer au header atakachfanya ni kuita( Calling) ile function.
faida
Nawasilisha
- faida moja wapo ya function ni kuwezesha ku re use code sehemu tofauti tofauti by just caling the spefic function.Kwa hiyo bila fuction prgram iiyonadikwa kwa mistari eg 300kwa kutumi functions basi inaweza kukamilika kwa mistari 1000 function zisipotumika.
function function_name(){
//code to be executed
}
<?php
function empty_box(){
echo "Please fill all fields"
}
?>
thanks sana Mtazamaji! Nadhani formula ya function ni:
sasa kama unataka kuiita, unaiitaje? Kwa mfano hapa
PHP:<?php function empty_box(){ echo "Please fill all fields" } ?>
nataka kila kwenye empty textbox niite hii function. How?
- Nadhanii hii itatoa ouput iliyoelekezwa kwenye function halisi. kama ni kupirnt jina itaprint jina. kwa mfano wako basi ujumbe utakaotokea ni echo "Please fill all fields"empty_box()
Naomba maelezo kuhusu isset() na functions in general. Sitaki copy and paste nimesearch sana tu lakini they ain't speaking my language. Ni kwa jinsi unavyoelewa wewe.
Ahsanteni
Isset() checks if a variable has a value including ( Flase , 0 , or Empty string) , But not NULL.
Returns TRUE if var exists; FALSE otherwise.
if(!$_SESSION['isRefreshed']){
//display the contents
}
una refresh vipi? Unaweza kudefine variable isRefreshed na ukainitialize ktk session ikiwa false, uki refresh page unaiset kuwa true. Hizo content zinakuwa ndani ya if block,
ktk ku refresh unaiset trueCode:if(!$_SESSION['isRefreshed']){ //display the contents }
ukiweka code zako itakuwa rahisi kushauri
Wakuu naomba mnisaidie:
Natengeneza website ya PHP. Sasa, nataka kila nikirefresh sign up page, values nilizokuwa nimeingiza kabla ya ku refresh zifutike as soon as nikirefresh au reload the page. SIWEZI! Kila nikirefresh page inarudi na values nilizo input awali. Nisaidieni.......PHP is so killing me. Saa nyngine mpaka nachoka nakaa chini naanza kulia tu.
Anzisha Threads nyingine sikunzingine, pia swali hilijakaa vizuri, yaani unaamua tu kurefresh?? au baada ya submitbutton ukirudi kwenye hiyo page value zinabakia? au hauna uhakika kuwa unataka kufanya nini kwani siyo kila website ya PHP lazima iwe na hyo feature unayo itaka wewe elaborate nitakusaidia ndugu