PHP: Wataalam Nahitaji Maelezo

Given Edward

JF-Expert Member
Jan 11, 2011
850
202
Naomba maelezo kuhusu isset() na functions in general. Sitaki copy and paste nimesearch sana tu lakini they ain't speaking my language. Ni kwa jinsi unavyoelewa wewe.
Ahsanteni
 
Beh, sisi wa lringa PHP ina maanisha "Penyewe Hapo Poa" utajiju penyewe hapo ni poa kwa kujinyonga, niangusage aun kuchinjia mbwa
 
Vumili mkuu watalamu watakuja saidia. Binafsi nafaham php kidogo tu na nimeitumia hyo function but cna maelezo ya kina lakini mie niltumia pamoja na if statement ambapo nilideclare kwa mfano unategeneza login panel sasa hii function una declare if isset.. Apo maana kwamba akiclick login button kitu flan kitokee dependening umedeclare nini au ukiweka if !Isset (not isset) kwa mfano wangu yani asipoclick iyo login button. Kitu flani kitokee... Ayo ni machache ninayofahamu and I stand corrected, tungojee watalamu watujuze zaidi.
 
Naomba maelezo kuhusu isset() na functions in general. Sitaki copy and paste nimesearch sana tu lakini they ain't speaking my language. Ni kwa jinsi unavyoelewa wewe.
Ahsanteni

isset() function hutumika kucheck kama variable flani iko set na value.. Let us say una variable inaitwa $uname .. kama haiko assigned ili kucheck kama iko assigned na value yoyote unatumia isset function.. Mfano check hii code

if(isset($uname))
{
this will be executed...
}

else
{
this
}



.. Maanake ni kwamba, isset function returns true if the variable is set with some value, else it returns false.. Na hii hutumika sana kwenye global variables kama zile $_POST variable..

mfano waweza check,

if( isset($_POST['formparameter']) )
{
//this is executed
}
else
{
this
}
 
PHP ni interpreted language amabayo ina maan kuwa variable type inakuwa determined during runtime. Kwa hiyo unapo define variable inaingia ktk kitu kama table ya variables (just for illustration) na kama haipo defined ina maana haitakuwapo ktk variable 'table'. Isset huwa inaangalia kama variable imekuwa defined tayari sehemu na inarudisha kweli kama imekuwa defined na sikweli kama haikuwa defined mahali.

Matumizi ya isset kama unavyoona, ni kuepuka kutumia variable ambayo haijawa defined ktk script.
Hope umepata mwanga!
 
Naomba maelezo kuhusu isset() na functions in general. Sitaki copy and paste nimesearch sana tu lakini they ain't speaking my language. Ni kwa jinsi unavyoelewa wewe.
Ahsanteni

Mimi nitajaribu kuelezea function

Function kwenye programming ni mstari au mistari ya codes inayofanya kazi fuani. kazi hii inaweza kuwa
  • sipme task kama kudisplay au kuprint kitu kwenye screen
  • kuita function nyingine
  • Kufanya task fulani. complex yenye fucnti nyingine ndani yake.
Pia kwenye programing Kuna aina mbali mbali za functions. Zipo system/ Inbulit functions mfano kwenye C main() ni root function ya fucntion zote . Kwenye PHP kuna system functtion nyingi tu kama echo() , date (), isset(), etc Unaweza kuona list ya inbuilt funtions za php hapa

zadi ya inbulit function prgrammer anaweza kutengeza function zake. ukiangali CMS application nyingi zinatumia pia user defined function atika mambo ya tovuti.

Mfano
Badala ya kurdia Header na footer za ukurasa wa tovuti prohgramer atatengeneza functionya foooter ya header. Kwa hiyo ataandika coes za header au footer mara moja tu. ni kila mara atakapotaka itokee footer au header atakachfanya ni kuita( Calling) ile function.

faida
  • faida moja wapo ya function ni kuwezesha ku re use code sehemu tofauti tofauti by just caling the spefic function.Kwa hiyo bila fuction prgram iiyonadikwa kwa mistari eg 300kwa kutumi functions basi inaweza kukamilika kwa mistari 1000 function zisipotumika.
Nawasilisha
 
Mimi nitajaribu kuelezea function

Function kwenye programming ni mstari au mistari ya codes inayofanya kazi fuani. kazi hii inaweza kuwa
  • sipme task kama kudisplay au kuprint kitu kwenye screen
  • kuita function nyingine
  • Kufanya task fulani. complex yenye fucnti nyingine ndani yake.
Pia kwenye programing Kuna aina mbali mbali za functions. Zipo system/ Inbulit functions mfano kwenye C main() ni root function ya fucntion zote . Kwenye PHP kuna system functtion nyingi tu kama echo() , date (), isset(), etc Unaweza kuona list ya inbuilt funtions za php hapa

zadi ya inbulit function prgrammer anaweza kutengeza function zake. ukiangali CMS application nyingi zinatumia pia user defined function atika mambo ya tovuti.

Mfano
Badala ya kurdia Header na footer za ukurasa wa tovuti prohgramer atatengeneza functionya foooter ya header. Kwa hiyo ataandika coes za header au footer mara moja tu. ni kila mara atakapotaka itokee footer au header atakachfanya ni kuita( Calling) ile function.

faida
  • faida moja wapo ya function ni kuwezesha ku re use code sehemu tofauti tofauti by just caling the spefic function.Kwa hiyo bila fuction prgram iiyonadikwa kwa mistari eg 300kwa kutumi functions basi inaweza kukamilika kwa mistari 1000 function zisipotumika.
Nawasilisha

thanks sana Mtazamaji! Nadhani formula ya function ni:
function function_name(){
//code to be executed
}
 
Mimi nitajaribu kuelezea function

Function kwenye programming ni mstari au mistari ya codes inayofanya kazi fuani. kazi hii inaweza kuwa
  • sipme task kama kudisplay au kuprint kitu kwenye screen
  • kuita function nyingine
  • Kufanya task fulani. complex yenye fucnti nyingine ndani yake.
Pia kwenye programing Kuna aina mbali mbali za functions. Zipo system/ Inbulit functions mfano kwenye C main() ni root function ya fucntion zote . Kwenye PHP kuna system functtion nyingi tu kama echo() , date (), isset(), etc Unaweza kuona list ya inbuilt funtions za php hapa

zadi ya inbulit function prgrammer anaweza kutengeza function zake. ukiangali CMS application nyingi zinatumia pia user defined function atika mambo ya tovuti.

Mfano
Badala ya kurdia Header na footer za ukurasa wa tovuti prohgramer atatengeneza functionya foooter ya header. Kwa hiyo ataandika coes za header au footer mara moja tu. ni kila mara atakapotaka itokee footer au header atakachfanya ni kuita( Calling) ile function.

faida
  • faida moja wapo ya function ni kuwezesha ku re use code sehemu tofauti tofauti by just caling the spefic function.Kwa hiyo bila fuction prgram iiyonadikwa kwa mistari eg 300kwa kutumi functions basi inaweza kukamilika kwa mistari 1000 function zisipotumika.
Nawasilisha

thanks sana Mtazamaji! Nadhani formula ya function ni:
function function_name(){
//code to be executed
}

sasa kama unataka kuiita, unaiitaje? Kwa mfano hapa
PHP:
<?php
function empty_box(){
echo "Please fill all fields"
}
?>

nataka kila kwenye empty textbox niite hii function. How?
 
thanks sana Mtazamaji! Nadhani formula ya function ni:


sasa kama unataka kuiita, unaiitaje? Kwa mfano hapa
PHP:
<?php
function empty_box(){
echo "Please fill all fields"
}
?>

nataka kila kwenye empty textbox niite hii function. How?

Sijui kama nimekupata . simpply unaita functiona kwa name .
empty_box()
- Nadhanii hii itatoa ouput iliyoelekezwa kwenye function halisi. kama ni kupirnt jina itaprint jina. kwa mfano wako basi ujumbe utakaotokea ni echo "Please fill all fields"
 
Naomba maelezo kuhusu isset() na functions in general. Sitaki copy and paste nimesearch sana tu lakini they ain't speaking my language. Ni kwa jinsi unavyoelewa wewe.
Ahsanteni

Isset() checks if a variable has a value including ( Flase , 0 , or Empty string) , But not NULL.
Returns TRUE if var exists; FALSE otherwise.
 
Wakuu naomba mnisaidie:
Natengeneza website ya PHP. Sasa, nataka kila nikirefresh sign up page, values nilizokuwa nimeingiza kabla ya ku refresh zifutike as soon as nikirefresh au reload the page. SIWEZI! Kila nikirefresh page inarudi na values nilizo input awali. Nisaidieni.......PHP is so killing me. Saa nyngine mpaka nachoka nakaa chini naanza kulia tu.
 
una refresh vipi? Unaweza kudefine variable isRefreshed na ukainitialize ktk session ikiwa false, uki refresh page unaiset kuwa true. Hizo content zinakuwa ndani ya if block,
Code:
if(!$_SESSION['isRefreshed']){
//display the contents
}
ktk ku refresh unaiset true
ukiweka code zako itakuwa rahisi kushauri
 
una refresh vipi? Unaweza kudefine variable isRefreshed na ukainitialize ktk session ikiwa false, uki refresh page unaiset kuwa true. Hizo content zinakuwa ndani ya if block,
Code:
if(!$_SESSION['isRefreshed']){
//display the contents
}
ktk ku refresh unaiset true
ukiweka code zako itakuwa rahisi kushauri

Thanks! BTW, unaweza ukanielezea how to set up sessions to user? The log in and out thing?
 
Wakuu naomba mnisaidie:
Natengeneza website ya PHP. Sasa, nataka kila nikirefresh sign up page, values nilizokuwa nimeingiza kabla ya ku refresh zifutike as soon as nikirefresh au reload the page. SIWEZI! Kila nikirefresh page inarudi na values nilizo input awali. Nisaidieni.......PHP is so killing me. Saa nyngine mpaka nachoka nakaa chini naanza kulia tu.

Anzisha Threads nyingine sikunzingine, pia swali hilijakaa vizuri, yaani unaamua tu kurefresh?? au baada ya submitbutton ukirudi kwenye hiyo page value zinabakia? au hauna uhakika kuwa unataka kufanya nini kwani siyo kila website ya PHP lazima iwe na hyo feature unayo itaka wewe elaborate nitakusaidia ndugu
 
Anzisha Threads nyingine sikunzingine, pia swali hilijakaa vizuri, yaani unaamua tu kurefresh?? au baada ya submitbutton ukirudi kwenye hiyo page value zinabakia? au hauna uhakika kuwa unataka kufanya nini kwani siyo kila website ya PHP lazima iwe na hyo feature unayo itaka wewe elaborate nitakusaidia ndugu

ni kweli hata baada ya submit button values hazibadiliki(haziwi empty) na hata nikireload page baada ya kujaza textbox(bila ku submit) values hazibadiliki kuwa empty!
 
Back
Top Bottom