hongera kwa kutuwekea hii kitu bwana leh ila ingekuwa tutorial kwa watakao taka kujifundisha photoshop, ingekuwa poa, jioni ntaongeza simcard pack yangu au vipi....
kaka C6 umejuaje!?yani hapa nilikuwa nimekesha ofisini kwa ajili ya video editing...ile na log in JF nakutana na hii kitu.sio siri kwa hili leh anahahitaji pongezi.nina motion graphics video nimeifanya via AE,nikipata mda wa kutosha nitai-upload youtube na kuleta link yake hapa jamvini ili wadau mnishauri zaidi sababu naamini ktk hii field yetu kila siku tunajufunza vitu jipya.
hahaha kaka mimi ni freelance graphics designer, ila mara nyingi hufanya haya mambo for funny na sijawa serious kibiashara...
mostly nitapost chochote hapa ili kuinspire upcoming designers nao waone inawezekana...