Mgaratia Wa bongo
Senior Member
- Oct 4, 2020
- 116
- 142
Asante sanaNunua hizo series za 20s hiyo ya 30 achana nayo
2525 na 2530 ni nzuri
3225 Mkuu?Hayo madude ukiyaona kwa nje unaweza ukafikiri ndani yana vitu vya maana! Kumbe ni maplastiki matupu. Yakianza kusumbua utawatafuta mafundi mpaka mbinuni waje wakurekebishie.
Mala drum, roller, kujam na mafundi wengi ni wababaishajiHayo madude ukiyaona kwa nje unaweza ukafikiri ndani yana vitu vya maana! Kumbe ni maplastiki matupu. Yakianza kusumbua utawatafuta mafundi mpaka mbinuni waje wakurekebishie.
Jambo la muhimu hakikisha unanunua mashine mpya. Na siyo zile used from Dubai.3225 Mkuu?
Hapo Dsm tofauti na mambosasa ni wapi tena wanauza kwa Bei nzuriChukua 2520 ipo safi nilishawahi kuitumia miaka kadhaa nyuma!
Usitoke nje ya hapa. Evelyn kamaliza.Nunua hizo series za 20s hiyo ya 30 achana nayo
2525 na 2530 ni nzuri
Aisee huyu jamaa yupo vizuri. Sema nimesikia kuna ndugu yupo Bunju yule anaeuza vitu vya mtumba kama magari machine mbalimbali, laptops toka ukHapo Dsm tofauti na mambosasa ni wapi tena wanauza kwa Bei nzuri