Photo of the Day.

Photo of the Day.

Umeacha lini kazi? Kitambulisho chao umeshakirudisha? Popoma ndiyo nini?
hapana bado ninacho,hiki hapa ktk picha.:heh:
1375474103Tim-.jpg
 
yote pia yanawezekana. matokeo yatasema ukweli. cha msingi tusubirie hiyo siku. tuombe uzima tuone yale tunayotaka kuyaona

Hili ndilo jibu la kisomi na siyo kusema kuwa kwakuwa fulani ana nyomi la kutosha basi ndiyo justification kuwa yeye ndiyo anakubalika na anapendwa na watu. Tanzania hakuna siasa za upinzani bali ninachokiona kitaalamu ni kwamba watu wana mihemko tu huku akili zao wakizipeleka likizo kiasi cha kushindwa kufanya tathmini ya kina ya mgombea wao kwa kupewa upofu wa kifisadi unaowazuzua sasa.
 
Hili ndilo jibu la kisomi na siyo kusema kuwa kwakuwa fulani ana nyomi la kutosha basi ndiyo justification kuwa yeye ndiyo anakubalika na anapendwa na watu. Tanzania hakuna siasa za upinzani bali ninachokiona kitaalamu ni kwamba watu wana mihemko tu huku akili zao wakizipeleka likizo kiasi cha kushindwa kufanya tathmini ya kina ya mgombea wao kwa kupewa upofu wa kifisadi unaowazuzua sasa.

matokea yasema tu nani wafata mkumbuko na nani wao kweli. tatizo watu wanaongoza na hisia. uhalisia unatakiwa ndo utongoze ili tupate kile tunachotaka
 
Yeah inawezekana ikawa kweli kuna tofauti kubwa hapo lakini tambua ya kwamba scientifically huwezi ukahitimisha mtu fulani kupendwa kutokana tu na kuwa na umati mkubwa. Kuna factors nyingi ambazo pengine zinaweza kusababisha kuwepo kwa huo umati mkubwa na usishangae kukuta hao walio wachache kimwonekano ndiyo wakawa wakweli kutoka moyoni huku hao wengi unaowaona hapo wakawa ni wanafiki tu na wapo hapo kama ni sehemu tu ya kupotezea muda kama siyo kuondoa tu stress ya ugumu wa maisha pengine uliosababishwa na huyo huyo wanayemshangilia hapo. Sasa hivi kadri siku zinavyoenda ndiyo uwezo wa kufikiri na wa kuona mambo ya tija ya watanzania unaonekana.

Labda kwa goli la Maradona!
 
Back
Top Bottom