kaliakitu2008
Member
- Feb 21, 2011
- 61
- 7
Hiyo uda dogo ndiyo lilikuwa linaitwa nusu mkate zilikuwa ISUZU, nakumbuka wakati huo nilikuwa shule ya msingi darasa la nne. Watu wanakumbuka SIMBA LUWALA madaladala ya mwanzo pamoja na vile arusha wanaviita vifodi vilikuwa isuzu muundo wa Toyota Hiace siku hizi?UDA dogo,not sure