Ng'wanangwa JF-Expert Member Aug 28, 2010 10,827 4,172 Sep 17, 2012 #1 Anaitwa Jesca Kishoa "Igauri singida muamko mkubwa,Pipoooz..!"
Kachanchabuseta JF-Expert Member Mar 8, 2010 7,269 675 Sep 17, 2012 #2 Sijaelewa??? how akawa binti wa chadema?
yaser JF-Expert Member Jan 23, 2012 1,361 299 Sep 17, 2012 #4 mwamko wa milima huko nyuma ila co watu
Superman JF-Expert Member Mar 31, 2007 5,695 1,696 Sep 17, 2012 #6 Amazing . . . . halafu audience yake japo wachache lakini wote ni wavaa suruali. Such a confidence. Heshima sana kwa Wadada wotye ambao mnama-confidence. It means a lot katika maisha.
Amazing . . . . halafu audience yake japo wachache lakini wote ni wavaa suruali. Such a confidence. Heshima sana kwa Wadada wotye ambao mnama-confidence. It means a lot katika maisha.
omben JF-Expert Member May 30, 2012 812 449 Sep 17, 2012 #7 Hongera dada kwa kazi ya kuelimisha jamii