We kajipatie gamba lako maisha yasonge. Hata mwendazake alijipatia PhD yake hapo Mlimani kilaini tu.Wakuu nataka kusoma PhD Chuo Kikuu huria, je hii Shahada toka chuo pendwa inathaminika huko kitaa? Nisije kupoteza muda na pesa. Asanteni
FafanuaUnapoteza muda na pesa.
Wakuu nataka kusoma PhD Chuo Kikuu huria, je hii Shahada toka chuo pendwa inathaminika huko kitaa? Nisije kupoteza muda na pesa. Asanteni
Soma KwanzaWakuu nataka kusoma PhD Chuo Kikuu huria, je hii Shahada toka chuo pendwa inathaminika huko kitaa? Nisije kupoteza muda na pesa. Asanteni
PolymorphismSoma Kwanza
Unasoma LLB open, ukutane kisutu na aliyetokea UDSM? Jiandae kwa POUlishawahi kwenda hata kwenye ofisi zao kupata abc hasa pale kinondoni
OUT ni chuo cha serikali kimeanzishwa kwa sheria ya bunge
Kina madocta na maprofesa na kinatumia misingi ile inayopotiwa na vyuo vingine katika utoaji wa shahada zao .
Watembelee waulize wao wahusika ukiona panakufaa go ahead ukiona hapakufai piga chini
Tabia za kitanzania za kupambanisha vyuo ni za kipumbavu wakati vyuo vyote vya serikali viko kisheria
Mara chuo cha kata
Wengine wako jalalani
Ujinga na upumbavu ni ule ule
Unaweza hata usimalize maana hujui hata unachokitafutaWakuu nataka kusoma PhD Chuo Kikuu huria, je hii Shahada toka chuo pendwa inathaminika huko kitaa? Nisije kupoteza muda na pesa. Asanteni