Acheni kumkatisha tamaa mm ninalipwa huo mshahara c mbaya sana
najua pgss 11 ina laki 8.0 hadi laki 8.72, hiyo pgss 10 itakuwa kati ya laki 6.5 hadi 7.0
best wishes
Mkuu mbona unatuchanganya...si ulisema unacheti cha Agriculture ukawa unaitamani ile post ya Farm Manager kule Segerea, ukadai tatizo uko kijijini na hauna kazi?!!..Sasa haya mambo ya salary scale ya Pgss 10 inakuwa vipi tena?!!!!
Je kwa sasa PGSS 10 ni sh. ngapi?
kwenye Taasisi ninayofanyia kazi mimi ni Tshs. 892,000/= gross. Take home ni arround 680,000/=
dah inamaana makato yote hayo yanaenda wapi? Poor country.
Hauzidi laki 5.
naombeni mniambie huu mshahara una range kwenye sh. ngap please.