Petroleum engineering

PCM anakuwa na advantage nzuri kwani masomo yote 3 yanakuwa applicable, PCB nayo safi ila PGM geography haina role kubwa kwenye miamba
Geography haina role kubwa kwenye miamba!!!!!are you serious, what is physical geography then.....
 
Geography haina role kubwa kwenye miamba!!!!!are you serious, what is physical geography then.....
Hiyo physical Geography unayosoma ni part ndogo sana katika petrology na usije ukalinganisha geography na Geology wala petroleum hizo lazima usome Chemistry, Physics na Adv Math au BAM, physical geography unaongelea surface process
 
Nikiskia kijana anataka kwenda kusomea ishu za PETROLEUM

Natamani nimnase MAKOFI
 
Geography haina role kubwa kwenye miamba!!!!!are you serious, what is physical geography then.....
Miamba ni chemistry na physics tu. Hiyo physical geography wanayosoma ya mambo ya weathering mara land slide na earth quick haina kazi yoyote. Na PGM yako ukikutana tu na Geochemistry lazima ujambe ujambe. Sasa usije ukajiloga ukutane na Petroleum Geochemistry itakujambisha mazima yaani
 
Kuna masomo ambayo huwezi kuelewa ukiwa chuo kikuu bila kupitia advance au diploma masomo hayo ni biology, chemistry na physics. Hayo masomo huwezi kuelewa bila kupitia advance. Huwezi kuelewa narudia tena.
Ni kweli mkuu. Kwa mfano mtu amesoma ARTS halafu anaenda chuo kusoma electronics wakati huko alikotoka hajasoma hata Matrix , na physics aliiacha form 2 .

Huku anaenda kumwambia kirchoff's law ni lugha gongana.
 
Hata hujajibu swali, mim nauliza hiyo organic chemistry haifundishwi huko chuoni? badala ya kujibu umeishia kunipeleka geology, yaani nje ya mada kabisaaa!!

Huwa masomo hayo yanafundishwa chuo ila nimuendelezo wa pale ulipoishia ulipokuwa form 6 , hawataanza kufundisha state of matter, Definition ya chemistry na kuchora Atom structure tena.

Hata Maths wanaendelea pale ulipoishia ulipokuwa sekondari, hawataanza kufundisha kuhusu Real Numbers na Whole Numbers.
 
Nakataa sio kweli. Nakataa kabisa.
Kwa upande wa sayansi.
Physics, math na Chemistry za advance ni ngumu kuliko tunazo soma chuo. Achana na physics ya advance mkuu, acha wewe.
 
Danganya wazee unaenda Chuo..chukua ada anzisha biashara.
Baada ya miaka mi4 utakuwa mbali sana na wazazi watakusifu sana

-I am a petroleum engineering graduate 2018/2019
Fursa zipo nyingi, sema tu graduates wengi wamekariri ajira za kuajiriwa.
Kwa mfano;-
1.Anza kujitolea katika Petro Station kama mjaza mafuta ya magari.(ajira)
2.Anza kufanya private reseach zinazohusu ulichosomea.
-maeneo yanayohitajika na yasiyohitajika katika kuanzisha vituo vya mafuta.
-Namna ya kuinua sekta ya nishati kwa kutumia mafuta yatokanayo na mimea, wanyama au takamwili hasa zile zitokazo majumbani.
-Buni mbinu mbadala ya namna ya kuhifadhi na kuuza mafuta hasa katika maeneo ya visiwani, vijijini, na maeneo mengine yasiyo uwezekano wa kuwepo vituo vya mafuta.
-Namna gani unaweza kuongeza thamani bidhaa za mafuta kwa kutumia mimea, matunda na mizizi hasa katika tiba, ushafishaji na uendeshaji wa mitambo na utengenezaji wa dawa za kuua wadudu.
Kwa kuna article moja hapa:-
 

Attachments

  • 9.pdf
    9.pdf
    590.8 KB · Views: 20
Umechemka real number na whole zinafundishwa
 
sasa combination ya PGM ina maana gani kuisoma au kazi yake ni nini?
PGM inahusu zaidi masuala ya unajimu, na uendeshaji wa meli na ndege pilots and captens wa cruise ship na siyo masuala ya miamba na tabia zake kijiofisizikia au kikemia
 
sasa haya yote uliyo yaeleza ni mambo ya mtu wa Petroleum Chemistry. Petroleum engineering kazi yake ni kuchimba na kuzalisha mafuta kutoka kwenye mwamba. Huyo Petroleum chemistry ndiye anahusika na kusafisha mafuta na gesi, kutengeneza kemikali kwa kutumia kampaundi zilizopo kwenye mafuta na gesi, kutengeneza mafuta mbadala kama hayo uliyo yaweka hapo, kutengeneza matairi, kutengeneza mbolea kwa kutumia gesi (Natural gas) na mafuta (naphtha), n. k n. k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…