Petroleum engineering inahataji pia uelewe chemistry (organic chemistry, inorganic chemistry na physical chemistry). Haya masomo ni muhimu sana.Kuna watu walisoma hiyo kozi pale UDOM na walisoma PGM(siyo Mambo ya kuambiwa, nimesoma nao chuo kimoja japo kozi tofauti).
Okay thanks nimekuelewaPetroleum engineering inahataji pia uelewe chemistry (organic chemistry, inorganic chemistry na physical chemistry). Haya masomo ni muhimu sana.
Sasa ukiwa na PGM kuna mambo utashindwa kuyaelewa vizuri. Ukitaka uielewe vizuri ni vyema uende na PCM.
umeona faida yake si ukasome unaulizann sasaNingekuwa nataka hizo ningeziulizia mpk nataka hiyo course nimeona faida yake
Uko mtwara kwenye mazonge sikuiziOo vizuri ikoje ni ngumu in terms of studies hata ajira ni rahisi kupata au
Watanzania bwana... kwani chuoni hawafundishi hizo organic chemistry?Petroleum engineering inahataji pia uelewe chemistry (organic chemistry, inorganic chemistry na physical chemistry). Haya masomo ni muhimu sana.
Sasa ukiwa na PGM kuna mambo utashindwa kuyaelewa vizuri. Ukitaka uielewe vizuri ni vyema uende na PCM.
Sorry ukitaka kuwa petroleum engineering unaweza kuchukua PGM a level au ni lazima kuchukua PCM.
Kuna masomo ambayo huwezi kuelewa ukiwa chuo kikuu bila kupitia advance au diploma masomo hayo ni biology, chemistry na physics. Hayo masomo huwezi kuelewa bila kupitia advance. Huwezi kuelewa narudia tena.Watanzania bwana... kwani chuoni hawafundishi hizo organic chemistry?
Kama huwezi kuelewa kwanini yanafundishwa?Kuna masomo ambayo huwezi kuelewa ukiwa chuo kikuu bila kupitia advance au diploma masomo hayo ni biology, chemistry na physics. Hayo masomo huwezi kuelewa bila kupitia advance. Huwezi kuelewa narudia tena.
NWatanzania bwana... kwani chuoni hawafundishi hizo organic chemistry?
Ndio maana UDSM huwezi chaguliwa petroleum au mechanical engineering kama huna PCM. Unadhani kwanini. UDSM hata geology tu PGM huchukuliwi.Kama huwezi kuelewa kwanini yanafundishwa?
PCM anakuwa na advantage nzuri kwani masomo yote 3 yanakuwa applicable, PCB nayo safi ila PGM geography haina role kubwa kwenye miambaSorry ukitaka kuwa petroleum engineering unaweza kuchukua PGM a level au ni lazima kuchukua PCM.
Hata hujajibu swali, mim nauliza hiyo organic chemistry haifundishwi huko chuoni? badala ya kujibu umeishia kunipeleka geology, yaani nje ya mada kabisaaa!!N
Ndio maana UDSM huwezi chaguliwa petroleum au mechanical engineering kama huna PCM. Unadhani kwanini. UDSM hata geology tu PGM huchukuliwi.
Hiyo ilikua hot. Nakumbuka 2013 namaliza Geology UDOM washakaji wa petroleum karibi wote walikua washapata ajira za maana wakiwa chuo bado. Alafu darasa lao walikua 7 tu.Danganya wazee unaenda Chuo..chukua ada anzisha biashara.
Baada ya miaka mi4 utakuwa mbali sana na wazazi watakusifu sana
-I am a petroleum engineering graduate 2018/2019