Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,844
- 52,251
hamkodishi?Hapana boss
hamkodishi?Hapana boss
sikuwahi kuona petrol station inauzwa toka nianze kutumia mitandao
Dah..Fanya b 7 nichukue

Uko sahihi...wakati picha inapigwa kulikuwa na matengenezo ya barabara...ila nikufahamishe tu...ujenzi wa sheli sio kama nyumba ya kuishi, sheli zote zipo kando ya barabara na wana kibali maalumu kwa sababu ndio mazingira rafiki ya wao kutoa hudumu, na endapo utachukua eneo hilo kwa uso wa mbele biashara pekee unayoruhusiwa kuweka hapo ni Petrol station. Kwa wakazi wa kigamboni watakuwa wanaifahamu now ujenzi umekwisha kila kitu kipo sawa boss.Mbona Kama imejengwa kwenye hifadhi ya barabara?
Niniangalia naona kabisa imepitiwa na Barabara ya lami.
Bad enough,
Barabara ya lami inaonyesha imejengwa bila kuwekwa mifereji ya maji.
Na kwa haraka haraka, inaonyesha ujenz wa barabara bado unaendelea.
Kwaiyo inawezekana kabisa,
Mwenye sheli keshaambiwa aondoke Apo kupisha barabara.
Sasa kwa sababu sisi binadamu wa Sasa tumekua wabishi Sana.
Ndo mana
Mwenye Mali, kaamua kuuza fasta fasta ili afidie nusu hasara.
Ni mtizamo lakini
Naitaka hiyo Petrol Station Sasa hvB 8.225
Kigambono huko labda ufanye biashara ya kulima nyanya biashara ya petrol station kwa traffic ipi? Ya kwenda Mikadi? Tuliwahi kuja South Beach full uswahili disco vumbi, vibaka wote wa kigamboni wanahamia hukoUko sahihi...wakati picha inapigwa kulikuwa na matengenezo ya barabara...ila nikufahamishe tu...ujenzi wa sheli sio kama nyumba ya kuishi, sheli zote zipo kando ya barabara na wana kibali maalumu kwa sababu ndio mazingira rafiki ya wao kutoa hudumu, na endapo utachukua eneo hilo kwa uso wa mbele biashara pekee unayoruhusiwa kuweka hapo ni Petrol station. Kwa wakazi wa kigamboni watakuwa wanaifahamu now ujenzi umekwisha kila kitu kipo sawa boss.
Mkuu ilikuwa mwaka gani huo?Kigambono huko labda ufanye biashara ya kulima nyanya biashara ya petrol station kwa traffic ipi? Ya kwenda Mikadi? Tuliwahi kuja South Beach full uswahili disco vumbi, vibaka wote wa kigamboni wanahamia huko
Hapana wala hayana bei hizo madalali wengi wanaharibu sana biashara hapo mzee ukipiga hesabu kuanzia EIA mpka ujenzi hata mil 120 haifiki hizi pump tuu ni mil 30 .sasa uliza bei wanazotangaza wanauza utachoka8 bilioni.... kumbe haya mavituo ya mafuta yanafaida...mbona pesa ndefu sana.
2017Mkuu ilikuwa mwaka gani huo?