puker
JF-Expert Member
- Nov 22, 2018
- 1,024
- 2,088
- Thread starter
- #41
Ukiwa much know Jitahidi kufanya reserch...mil 120 ujenge kituo cha mafuta umebanwa na mavi wewe, kwa hela hiyo hata mm ningekuwa nachoHapana wala hayana bei hizo madalali wengi wanaharibu sana biashara hapo mzee ukipiga hesabu kuanzia EIA mpka ujenzi hata mil 120 haifiki hizi pump tuu ni mil 30 .sasa uliza bei wanazotangaza wanauza utachoka





