mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 10,147
- 13,775
ooh hapo sawa umeeleweka,sasa ilitakiwa kwenye tangazo lako useme sheli na shamba vinauzwa.Eneo la mmiliki wa hiyo sheri ni hekar 8, hvy anauza lote, kama vingekuwa ni sheri yenyewe isingezid 2.5 mpk 3B
Ila ukisema tu sheli inauzwa kwa bilioni 8 watu hawakuelewi