mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 9,885
- 13,261
ooh hapo sawa umeeleweka,sasa ilitakiwa kwenye tangazo lako useme sheli na shamba vinauzwa.Eneo la mmiliki wa hiyo sheri ni hekar 8, hvy anauza lote, kama vingekuwa ni sheri yenyewe isingezid 2.5 mpk 3B
Ila ukisema tu sheli inauzwa kwa bilioni 8 watu hawakuelewi

A petrol station has offices which cover 300square meters and one were house with office.