Petrol station for sale!

Petrol station for sale!

Eneo la mmiliki wa hiyo sheri ni hekar 8, hvy anauza lote, kama vingekuwa ni sheri yenyewe isingezid 2.5 mpk 3B
ooh hapo sawa umeeleweka,sasa ilitakiwa kwenye tangazo lako useme sheli na shamba vinauzwa.
Ila ukisema tu sheli inauzwa kwa bilioni 8 watu hawakuelewi
 
ooh hapo sawa umeeleweka,sasa ilitakiwa kwenye tangazo lako useme sheli na shamba vinauzwa.
Ila ukisema tu sheli inauzwa kwa bilioni 8 watu hawakuelewi
Kwenye Details nimefafanua, na sio shamba ni kiwanja. Uliona wapi shamba town jombaa?
 
Location: Kigamboni Mwalimu Nyerere Bridge.

A petrol station has offices which cover 300square meters and one were house with office.

Plot size: 3.5 Hectors

Document: It has title deed

Distance: 8km from Ferry

Ask price Million 3.5 USD

Negotiations is available

All social service are available.

Contact
+255758 676743

DALALI MFALME KIGAMBONI.
View attachment 1627605View attachment 1627606View attachment 1627608
Mimi naona PUMPS kwenye road reserve; hakuna Petro Station hapo
 
Mimi naona PUMPS kwenye road reserve; hakuna Petro Station hapo
Picha hii ilipigwa wakati barabara inatengezewa sasa hivi pako vizuri kabisa sheli inaangaliana na round about
 
Nipe tofauti kati ya shamba na kiwanja kama kweli unaijua?
Shamba ni eneo la ardhi ambalo limetengwa kwa ajili ya shughuli za kilimo kwa lengo la kuzalisha mazao ya chakula na mazao mengineyo

Kiwanja ni eneo la ardhi ambalo limeandaliwa kwa shughuli za ujenzi, michezo, makazi n.k na tofauti na shughuli za kilimo. Sifa kuwa za kiwanja huwa karibu na mahitaji muhimu ya binadamu, kama vile umeme, Maji, barabara na makazi jirani ya watu.

#Umekula?
 
Nipe tofauti kati ya shamba na kiwanja kama kweli unaijua?
Kwa hiyo ukisikia hekari...akili yako inakimbilia shambani. Heka ni kipimo kuonesha ukubwa wa eneo, haihalalishi kuwa shamba.
 
Kwa hiyo ukisikia hekari...akili yako inakimbilia shambani. Heka ni kipimo kuonesha ukubwa wa eneo, haihalalishi kuwa shamba.
najua mkuu,ila viwanja hupimwa kwa vipande vyenye urefu na upana wa mita za mraba.
normally 20x20 square metres.
Shida yako wewe umekariri kwamba shamba ili liwe shamba lazima liwepo morogoro au singida.
Mtu anaweza kumiliki shamba hata Dar es salaam mkuu
 
najua mkuu,ila viwanja hupimwa kwa vipande vyenye urefu na upana wa mita za mraba.
normally 20x20 square metres.
Shida yako wewe umekariri kwamba shamba ili liwe shamba lazima liwepo morogoro au singida.
Mtu anaweza kumiliki shamba hata Dar es salaam mkuu
Mpaka tafsiri hiyo bado haujanielewa? IQ yako ni ndogo sana...bora tuishie hapa, hujui hata unachokiongea.
 
wewe ndio IQ yako ndogo,unaishia kuzunguka tu lkn hadi sasa hivi umeshindwa kuelezea tofauti kati ya shamba na kiwanja.
Kwa IQ uloyonayo utaishia kuwa dalali wa kuuza assets za wenzako tu
Mpaka tafsiri hiyo bado haujanielewa? IQ yako ni ndogo sana...bora tuishie hapa, hujui hata unachokiongea.
 
wewe ndio IQ yako ndogo,unaishia kuzunguka tu lkn hadi sasa hivi umeshindwa kuelezea tofauti kati ya shamba na kiwanja.
Kwa IQ uloyonayo utaishia kuwa dalali wa kuuza assets za wenzako tu
Haya mbu wa dengue umekula lakini?
 
Hii sheli leo imeleta mzozo, watu wametwangana risasi uko kigamboni.

Mleta mada,
Tunahitaji maelezo ya kina
 
Mbona Kama imejengwa kwenye hifadhi ya barabara?

Niniangalia naona kabisa imepitiwa na Barabara ya lami.

Bad enough,
Barabara ya lami inaonyesha imejengwa bila kuwekwa mifereji ya maji.

Na kwa haraka haraka, inaonyesha ujenz wa barabara bado unaendelea.

Kwaiyo inawezekana kabisa,
Mwenye sheli keshaambiwa aondoke Apo kupisha barabara.

Sasa kwa sababu sisi binadamu wa Sasa tumekua wabishi Sana.

Ndo mana
Mwenye Mali, kaamua kuuza fasta fasta ili afidie nusu hasara.

Ni mtizamo lakini
Hii sheli niliwahi kuitilia mashaka.

Leo watu wametwangana risasi hapo hapo,

Mtoa mada unakesi ya kujibu
 
Uko sahihi...wakati picha inapigwa kulikuwa na matengenezo ya barabara...ila nikufahamishe tu...ujenzi wa sheli sio kama nyumba ya kuishi, sheli zote zipo kando ya barabara na wana kibali maalumu kwa sababu ndio mazingira rafiki ya wao kutoa hudumu, na endapo utachukua eneo hilo kwa uso wa mbele biashara pekee unayoruhusiwa kuweka hapo ni Petrol station. Kwa wakazi wa kigamboni watakuwa wanaifahamu now ujenzi umekwisha kila kitu kipo sawa boss.
Njoo utueleze icho unachosema Kiko sawa wakati watu wanatwangana risasi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom