Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
UKOMBOZI NI MUHIMU NA NI LAZIMA TUJITOE MHANGA. HACHENI MAMBO YA KINAFIKI NA UPUMBAVU. TUNAOMBA NGUVU YA UMMA, KU SIGN HII PETITION ILI TUUNGANE NGUVU KUPINGA UDHALIMU NA UDIKTETA WA KIKWETE. MNAPOJIFICHA NYUMA YA KOMPUTA NA KUANDIKA UPUPU, MBONA TUSIWE MAJASIRI NA KUSIGN HII PETITION, TUKUSANYE NGUVU NA KUANDAA MAANDAMANO, MAJITU MENGINE YANAULIZA USHUZI UTADHANIA WAO NDO WASOMI KUMBE ***** TU???
JAKAYA MRISHO KIKWETE MUST GO AND POSSIBLY FACE JUSTICE !!
Tafadhali watanzania MUACHE UOGA. Kila mtu asign hii petition kumng'oa Kikwete Ofisini. Tunaomba sign 100,000. Tunapeleka hizi petitions kwa wafadhili. Bahati nzuri wamarekani wanatuunga mkono, na wameshamuona Kikwete kama mpuuzi asiyefaa kuongoza nchi, na mwaka huu mtaona sfari zake za Marekani zikiota majani.
Tunaomba m-sign na kusambaza habari hizi kupitia facebook twitter na blogs zote. Bofya hapa kusign petition PETITION KUMNG'OA KIKWETE MADARAKANI
Badala ya kulalamika humu JF chukueni hatua leo. Hii itatusaidia kuungana pamoja kuandaa maandamano nchi nzima ya Kuandamana hadi ikulu, ikibidi kuchukua wiki nzima hadi kieleweke. Baada ya kusaini, tutasambaza hii petition kwenye balozi zote na kukubaliana siku ya kuanza maandamano nchi nzima. Ila Kikwte must go..... hacheni uoga wa kijinga, kusaini hakuweza kukudhuru. Polisi hawawezi kukamata nchi nzima watanzania.
JAKAYA MRISHO KIKWETE MUST GO AND POSSIBLY FACE JUSTICE !!
Tafadhali watanzania MUACHE UOGA. Kila mtu asign hii petition kumng'oa Kikwete Ofisini. Tunaomba sign 100,000. Tunapeleka hizi petitions kwa wafadhili. Bahati nzuri wamarekani wanatuunga mkono, na wameshamuona Kikwete kama mpuuzi asiyefaa kuongoza nchi, na mwaka huu mtaona sfari zake za Marekani zikiota majani.
Tunaomba m-sign na kusambaza habari hizi kupitia facebook twitter na blogs zote. Bofya hapa kusign petition PETITION KUMNG'OA KIKWETE MADARAKANI
Badala ya kulalamika humu JF chukueni hatua leo. Hii itatusaidia kuungana pamoja kuandaa maandamano nchi nzima ya Kuandamana hadi ikulu, ikibidi kuchukua wiki nzima hadi kieleweke. Baada ya kusaini, tutasambaza hii petition kwenye balozi zote na kukubaliana siku ya kuanza maandamano nchi nzima. Ila Kikwte must go..... hacheni uoga wa kijinga, kusaini hakuweza kukudhuru. Polisi hawawezi kukamata nchi nzima watanzania.