Peter Msigwa aiongoza CHADEMA kushambulia Njombe

Peter Msigwa aiongoza CHADEMA kushambulia Njombe

wakuu

wasalaam

Mh, Peter Msigwa (Mbunge wa Iringa
Mjini) asherekea Pasaka Mkoani Njombe
kwa kupeleka Ujumbe wa CCM ni HATARI
kwa Usalama wa Taifa sasa hivi hapa njombe kumewaka moto mashambulizi ni ya moto sana kutoka chadema

Ccm mwaka huu watajuta kutufahamu

Mpaka waombe poooo

Ziara ndio imeanza rasmi leo

pipoooooooooozzz

....................
kilaza

Jina lako tu inaonesha ni jinsi gani wewe ni Kilaza, hivi ule ukichaa wako uliisha, nakushauri urudi tena Milembe
 
Msigwa anajihangaisha bure na cdm bora angestuka mapema afanye mambo yake tu. Hawezi kurudi bungeni yule
 
sawa dada kwani umeshapata mume ???

Lubajaro siyo dada na wala sio kaka. Kwa kifupi mimi ni mwanaume na nina mke na nimeoa na nina watoto watatu. LUBAJARO ni KAMPUNI ILIYOASISIWA KUTOKA NA INITIALS ZA MAJINA YANGU, MKE WANGU NA WATOTO WETU. LUBAJARO INVESTMENT COMPANY.LTD, ina deal na uuzaji wa mazao ya chakula na biashara, tunauzia Kenya, Sudani Kusini, Malawi, Zambia, Congo DRC, Msumbiji, Zimbabwe, Burundi, Rwanda na Somalia~(Kambi za wakimbizi "Somalia") tunapata faida ya $ 0.5 kwa kila moja ya mazao ya chakula na $ 1 kwa kila moja ya mazao ya biashara...! Kwahiyo utajiongeza zaidi ili unijue vizuri...!
 
Back
Top Bottom