Peter Msigwa aiongoza CHADEMA kushambulia Njombe

Peter Msigwa aiongoza CHADEMA kushambulia Njombe

Kilaza

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2013
Posts
3,324
Reaction score
1,378
wakuu

wasalaam

Mh, Peter Msigwa (Mbunge wa Iringa
Mjini) asherekea Pasaka Mkoani Njombe
kwa kupeleka Ujumbe wa CCM ni HATARI
kwa Usalama wa Taifa sasa hivi hapa njombe kumewaka moto mashambulizi ni ya moto sana kutoka chadema

Ccm mwaka huu watajuta kutufahamu

Mpaka waombe poooo

Ziara ndio imeanza rasmi leo

pipoooooooooozzz

....................
kilaza
 
Ccm na act watarajie kuimba wimbo bila kwaya master.watashindana na chadema lkn hawatashinda.
 
Habari nzuri kwa wapenda mabadiliko.!
 
makamanda msisahau kupita wanging'ombe.......ile wilaya mpya kwa yule aliyepewa cheo cha pole
 
Msigwa anashinda hapa Njombe bar moja inaitwa TALE na makahaba, huyu sijui mchungaji wa aina gani
 
Huyo Msigwa akisikia Mwakalebela hadi makalio yanatikishika
 
Msigwa anashinda hapa Njombe bar moja inaitwa TALE na makahaba, huyu sijui mchungaji wa aina gani

Hakuna bar yenye jina hilo hapa Njombe acha kupotosha watu.
Mbona unapenda kuchafua Wanachadema bila kosa lolote. Ninyi sample za Nape mbona hatuwaelewi?
 
Hakuna bar yenye jina hilo hapa Njombe acha kupotosha watu.
Mbona unapenda kuchafua Wanachadema bila kosa lolote. Ninyi sample za Nape mbona hatuwaelewi?

Tale iko katikati ya Sangamela na FM HOTEL ,ulizia utaambiwa
 
Back
Top Bottom