Manyahe
JF-Expert Member
- Mar 17, 2023
- 238
- 337
HahahahahSura ya lissu umbo la hippopotamus
HahahahahSura ya lissu umbo la hippopotamus
Langa alikufaje embu tuambieHakuna ajuaye atakufa lini, ila kuna life style usipozingatia unajiwahishia mwenyewe kaburini,
Tupac nilijua atauliwa tu baafa ya diss track ya Hit them up, Amina Chifupa alijua atakufa baada ya kusema atawataja wauza udaga, Langa, Mangwea walijiwahisha mbele za haki sababu ya udaga, huenda wangekuwa hai mpaka leo, ulale na malaya bila kinga au uendeshe gari kwa speed kali 130 useme ajali kazini...hakika utakufa.
Captain John Komba alikuwa mwili nyumba, shati lake unaweza kufunikia gari aina ya IST, Lemutus Tshirt yake ungeweza kutengenezea tent, yule mwanamziki wa marekani ni Big Punisher alifia usingizini premature sababu ya tumbo kama lako, mwenzake Fat Joe machale yakamcheza akapunguza kilo kutoka 150 mpaka 80.
Nimekumbuka kitu kuhusu Capt Komba, siku zake za mwisho aliwahi kusema atakayemsaidia kupungua mwili wake atampa zawadi, alishaona hatari mbele yake, leo hayupo mkewe bado mbichi kabisaa.
Bwana mdogo Peter Msechu sio kwamba Mo Dewji hana hela ndio maana hanenepi, Bill Gates, Dangote, Kikwete wanaweza kufuga matumbo wakiamua ila wanajua madhara yake.
Kuwa serious na afya yako acha comedy na uhai, najua jitihada zako za kuwekewa puto ila zimekaa kikomedy comedy huenda hata sio kweli.
Wewe ni bingwa wa nyimbo za misiba, marafiki zako na ma DJ watapiga sana nyimbo zako siku ukifa wakati uwezo wa kukusaidia wanao sasa ila wanaona hauko serious.
Kila nafsi itaonja mauti ila kutangulia mapema sio powa
Unene uluopitiliza kwa mwanaume ni hasara nyingi kuliko faida,yaani hii kufia kifuani kwa mwanamke au kufia usingizinini jambo la kawaida kabisaUkibatika kufika uzee na ukawa mnene namna hiyo na ni mwanaume hakyanani utapata tabu sana.
Kuna jamaa yangu husema kitambi ni uchafu, yani hilo tumbo umejaza nnya tupu.
Unene haufurahishi, unene unachosha, unakua mzito mzito kila wakati hata kunyanyw mguu, kukwepa hatari fulani ya gafla ni kazi maana limwili linakusaliti.
Unene unatesa basi tu, wengi wao umeshawaletea uvivu wa kuuondoa.
Pumzi pia inakua haba, kupiga mshipi muda mrefu sio rahisi, na tumbo kubwa kwa mwanaume hufanya kikojoleo kiingie ndani zaidi.
Sure mkuu, unene sio mzuri kabisa na unatesa mno.Unene uluopitiliza kwa mwanaume ni hasara nyingi kuliko faida,yaani hii kufia kifuani kwa mwanamke au kufia usingizinini jambo la kawaida kabisa
Hii ni jamii forums, elewa neno jamii.Okay.
Is the JF platform the right place to give advice to someone regarding their body maintenance.
How personal issues, you make it public?
Kaka nilijiuliza Sana mm pia nakamwili Ka Baba levo tayari najichukia na sababu kubwa Nina Mambo ya kiuchumi sijayapangilia .ila ifikapo mwezi WA 6 naingia gym kabisa staki ujingaHivi yule mtt wa Ambani ilishindikana nn jamani alioa juzi juzi. Ina maana pesa ilishindwa? ....unene wa hivi no.
Pole na hongera kulijua hiloKupunguza unene ni shughuli ndefu hususan kwenye baadhi ya miili, mazoezi tu hayatoshi, kwa mfano mimi hapa hutumia mazoezi na mfungo wa kila siku, yaani chakula cha mwisho huwa nakula saa tisa hadi kesho yake nafungua saa tatu asubuhi.
Hiyo ni masaa 18 bila kula, na masaa 6 ya kula, eating window.
Licha ya yote hiyo, kupungua kwenyewe hunijia taratibu sana, mwezi unaweza ukaisha sijapunguza kitu au hata kuna mwezi ninaongeza unene badala ya kupunguza.
Ni safari ndefu yenye misukosuko ila ukipania utapunguza.
Hatua ya mwanzo ni kukubali kwamba aina yako ya mwili sio kawaida kama binadamu wengine, mmeng'enyo wako wa chakula una mapungufu, hivyo unajikubali kuwa na huo ulemavu na kuishi nawo.
Hiyo ndo sababu ya langa kufa?Langa na nangwea walikuwa wanabwia unga na kulewa bila kula,overdosing ya unga
hapa watu wanakushauri hadi kiasi cha kuhonga, sembuse afya? 😆🤣🤣Hapa tunashauri hadi Ndoa......sembuse Afya?
Unakubaliana na GENTAMYCINE kwamba wewe ni kilaza kisa ni bonge?Kupunguza unene ni shughuli ndefu hususan kwenye baadhi ya miili, mazoezi tu hayatoshi, kwa mfano mimi hapa hutumia mazoezi na mfungo wa kila siku, yaani chakula cha mwisho huwa nakula saa tisa hadi kesho yake nafungua saa tatu asubuhi.
Hiyo ni masaa 18 bila kula, na masaa 6 ya kula, eating window.
Licha ya yote hiyo, kupungua kwenyewe hunijia taratibu sana, mwezi unaweza ukaisha sijapunguza kitu au hata kuna mwezi ninaongeza unene badala ya kupunguza.
Ni safari ndefu yenye misukosuko ila ukipania utapunguza.
Hatua ya mwanzo ni kukubali kwamba aina yako ya mwili sio kawaida kama binadamu wengine, mmeng'enyo wako wa chakula una mapungufu, hivyo unajikubali kuwa na huo ulemavu na kuishi nawo.
Hii ni jamii forums, elewa neno jamii.
Jamii ni pamoja na wewe, bahati mbaya/nzuri kwa Msechu ni kua yeye ni mtu maarufu, kuongelewa kwa umbo, sauti, maisha, ndoa nk ni takwa la mashabiki zake wamjuao.
Na bila shaka yeye karuhusu hilo ndio maana haoni shida kuliongelea mitandaoni, maisha yake na familia yake kaiweka public.
Sasa wewe ni nani yake hadi utake kukataza asishauriwe?? Ushauri wa hapa utawatoa tongotongo vibonge wengine, kama alivyo kioo cha jamii badi jamii inajifunza kupitia yeye.
Hata wewe ukiwa maarufu utajadiliwa tu, ndio maana mods hawajaufuta uzi, unafaa kwa jamii.