Peter Madeleka, amekosoa utendaji wa Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) na jeshi la polisi, akidai kuwa mchakato wa utoaji haki nchini umejaa migongano ya kisheria na matukio yanayovunja utu wa binadamu.
Akizungumza na Jambo TV leo, Januari 14, 2026, Madeleka amerejea kauli ya Rais Samia Suluhu Hassan aliyoitoa jana Jijini Dodoma kuhusu kukerwa na kesi za kubambikiwa. Madeleka amesema kama kauli hiyo ingechukuliwa kwa uzito wa kiutendaji, watu wote wenye kesi za uongo wangepaswa kuwa wameachiwa huru kufikia leo asubuhi.
Wakili huyo ametoa mifano ya kustaajabisha ya ukiukwaji wa taratibu, akitaja tukio la polisi kumpima mkojo mtuhumiwa wa kosa la "uchochezi," jambo ambalo amesema halina uhusiano wowote wa kisheria wala wa kitaalamu.
Peter Madeleka, amekosoa utendaji wa Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) na jeshi la polisi, akidai kuwa mchakato wa utoaji haki nchini umejaa migongano ya kisheria na matukio yanayovunja utu wa binadamu.
Akizungumza na Jambo TV leo, Januari 14, 2026, Madeleka amerejea kauli ya Rais Samia Suluhu Hassan aliyoitoa jana Jijini Dodoma kuhusu kukerwa na kesi za kubambikiwa. Madeleka amesema kama kauli hiyo ingechukuliwa kwa uzito wa kiutendaji, watu wote wenye kesi za uongo wangepaswa kuwa wameachiwa huru kufikia leo asubuhi.
Wakili huyo ametoa mifano ya kustaajabisha ya ukiukwaji wa taratibu, akitaja tukio la polisi kumpima mkojo mtuhumiwa wa kosa la "uchochezi," jambo ambalo amesema halina uhusiano wowote wa kisheria wala wa kitaalamu.
Peter Madeleka, amekosoa utendaji wa Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) na jeshi la polisi, akidai kuwa mchakato wa utoaji haki nchini umejaa migongano ya kisheria na matukio yanayovunja utu wa binadamu.
Akizungumza na Jambo TV leo, Januari 14, 2026, Madeleka amerejea kauli ya Rais Samia Suluhu Hassan aliyoitoa jana Jijini Dodoma kuhusu kukerwa na kesi za kubambikiwa. Madeleka amesema kama kauli hiyo ingechukuliwa kwa uzito wa kiutendaji, watu wote wenye kesi za uongo wangepaswa kuwa wameachiwa huru kufikia leo asubuhi.
Wakili huyo ametoa mifano ya kustaajabisha ya ukiukwaji wa taratibu, akitaja tukio la polisi kumpima mkojo mtuhumiwa wa kosa la "uchochezi," jambo ambalo amesema halina uhusiano wowote wa kisheria wala wa kitaalamu.