Peter Madeleka ateuliwa Waziri kivuli wa katiba na sheria

Peter Madeleka ateuliwa Waziri kivuli wa katiba na sheria

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Mwanasheria na Mwanaharakati mashuhuri nchini Wakili Peter Madeleka ametuliwa kuwa Waziri Kivuli wa Katiba na Sheria katika Baraza Kivuli la Mawaziri la ACT Wazalendo. Uteuzi huo umefanywa leo tarehe 17 Juni na Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Ndugu Dorothy Semu.

1750148944613.png
 
Huyu kiazi anayedanganya kuwapa polisi ghorofa na land cruiser 😁😁
 
Back
Top Bottom