Leo nikiwa napitiachapisho lisemalo "the last days of JMKariuki" nimekutana na jina la Peter Kinyanjui alias Mark Twist. Kwa wale vijana wa zamani jina la Mark Twist si geni kwa jinsi huyu jamaa alivyokuwa akitamba katika viunga vya DSM miaka ya 80 na kuendelea. Kinachonifanya nimlete hapa jamvini ni kwa jinsi anavyohusishwa na mauaji ya kikatili ya mwanasiasa mashuhuri wa Kenya JMKariuki. Je huyu Mark Twist alipotelea wapi au ndiyo katangulia mbele ya haki? Mchango wenu tafadhali.