Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,432
Peter Kibatala kiboko ya CCMWakili anayeongoza kula hela za Chadema bila kushinda kesi yoyote bwana Peter Kibatala safari hii amesababisha kesi ya wabunge 19 wa Chadema kuahirishwa hadi mwezi wa 3 mwaka 2023, baada ya kushindwa kutokea mahamakani bila sababu zozote za msingi, huku akiendelea kulipwa mshahara na marupurupu mengi kutoka kwenye ruzuku ya chama.
Ikumbukwe ni Peter Kibatala aliyesimamia kesi ya Mbowe ambayo mahakama ilimkuta na kesi ya kujibu kuhusu ugaidi wake.
.View attachment 2437457